Kubandika bidhaa dukani kukoje

Kubandika bidhaa dukani kukoje

kinywanyuku

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
3,746
Reaction score
2,924
Wadau wenye maduka kutokana na hali ngumu ya kiuchumi imeibuka tabia ya wateja kupenda kubandika bidhaa dukani yaani kulipia kidogo kidogo mpka amalize,sasa najiuliza mfano bidhaa nauza cash elfu 10 akisema anabandika nitamruhusu abandike kwa elfu 10 au niongeze kidogo iwe elfu 15?maana unaweza kuta mteja anachukua muda kumaliza na bidhaa ukauza ukienda kuifuata chimbo unaikosa mnaishia kugombana
 
Ukiwa na mchumba pia unaweza kulipa mahari kidogo kidogo hadi umalize,ukishindwa kumaliza kwa wakati anaolewa na mzee kipara
 
Back
Top Bottom