omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,683
Wakuu,
KUBANWA mkojo ni hatari sana hasa pale unapo banwa na sehemu ya kuutoa hakuna...!!
Binasfi natoka nzangu mkoani naingia dar nimefika mikumi wese likanibana dereva ndo Kwanzaa anaingiza gear..!!
Mpka kufika ubungo Kibofu hakina hamu ya safari..
Share your experince..
KUBANWA mkojo ni hatari sana hasa pale unapo banwa na sehemu ya kuutoa hakuna...!!
Binasfi natoka nzangu mkoani naingia dar nimefika mikumi wese likanibana dereva ndo Kwanzaa anaingiza gear..!!
Mpka kufika ubungo Kibofu hakina hamu ya safari..
Share your experince..