Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
Nimekua na tatizo sana na kusumbuliwa na kiu sana imefikia hatua nakunywa lita 4-4.05 kwa siku, sina kazi ngumu niifanyayo .
Miezi kama 4-5 nyuma nilikua nachemsha maji yakipoa kidogo nakunywa na uvuguvugu wake ili kupunguza tumbo.
Nilifanya mazoezi mapema asubuh ya viungo na kuzunguka uwanja baada ya muda niliacha
Sasa nashindwa kuelewa niliacha kabisa kunywa maji ya baridi ila kiu ya sasa huwa haiishi kabisa hivyo naonja onja kidogo ingawa cpendi ninywe maji ya baridi.
Kuna wakati na tia ndimu kwenye maji ya uvuguuvugu ila kiu ikizidi huwa naacha?
Ila sasa nakunywa maji meeengi nakojoa kidogo.
Mfano;leo nimaeamka asubuhi nimekata lita moja ya maji ya uvuguuvugu sikula kitu tena mchana nikala wali maini nikagonga lita moja na nusu ya maji baridi ila sasa ninakiu kinyama na ninaamini kabla ya saa 3 nitakata lita 2 za maji!.
Nikifanya jogging kidogo natamani kuacha nabanwa na kiu mno ingawa najitahidi nimalize muda niliojipangia.
Msaada wakuu.
Miezi kama 4-5 nyuma nilikua nachemsha maji yakipoa kidogo nakunywa na uvuguvugu wake ili kupunguza tumbo.
Nilifanya mazoezi mapema asubuh ya viungo na kuzunguka uwanja baada ya muda niliacha
Sasa nashindwa kuelewa niliacha kabisa kunywa maji ya baridi ila kiu ya sasa huwa haiishi kabisa hivyo naonja onja kidogo ingawa cpendi ninywe maji ya baridi.
Kuna wakati na tia ndimu kwenye maji ya uvuguuvugu ila kiu ikizidi huwa naacha?
Ila sasa nakunywa maji meeengi nakojoa kidogo.
Mfano;leo nimaeamka asubuhi nimekata lita moja ya maji ya uvuguuvugu sikula kitu tena mchana nikala wali maini nikagonga lita moja na nusu ya maji baridi ila sasa ninakiu kinyama na ninaamini kabla ya saa 3 nitakata lita 2 za maji!.
Nikifanya jogging kidogo natamani kuacha nabanwa na kiu mno ingawa najitahidi nimalize muda niliojipangia.
Msaada wakuu.