Kubemendwa

Kubemendwa

Billie

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
13,588
Reaction score
22,752
Kuna kauli huwa naisikia mtaani eti mtoto wa fulan kabemendwa.ETI HII HALI IPO AU NA INAKUAJE kama ipo? Sana sana husema pale mtoto anakuwa na hali ya kudhoofika wakimanisha mama na baba yake wamefanya mapenzi mapema baada ya kujifungua au kapata mimba kabla huyo mtoto hajakuwa yaani nashindwa kuileza vizuri kwa kuwa sina maarifa nayo.NIJUZENI PLEASE KUBEMENDWA NDO NINI MAANA KUNA WENGINE HUWATUKANA WENZAO KWA KUSEMA SURA KAMA UMEBEMENDWA.
 
Madaktari mko wapi,mwenyewe nataka fahamu hii kitu kiundani!pls tuelewesheni!wake up doctors.
 
Hamna maradhi kama kubemendwa. Waulize wataamu wa lugha ya kiswahili.
 
Hamna maradhi kama kubemendwa. Waulize wataamu wa lugha ya kiswahili.

doctorz mbona unaniangusha tena iweje maradhi niende kuwauliza watu wa kiswahili.
 
Back
Top Bottom