Uchaguzi 2020 Kubenea ateuliwa na ACT-Wazalendo kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni

Uchaguzi 2020 Kubenea ateuliwa na ACT-Wazalendo kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo imemteua Saed Kubenea kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020, Kubenea alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020) kupitia CHADEMA kabla ya kukihama Chama hicho na kuhamia ACT-Wazalendo

kube.jpg
 
Huyu jamaa bora angeenda Nccr akapumzike na wenzake.....kina 30, Kinondoni anakula Bonge Mtama ....ka Mbasha Mabange [emoji16]
 
Kuna uwezekana mkubwa wa Abbas Tarimba kushinda ubunge wa kinondoni.

Tayari ccm ina majimbo mawili Dar, ilala na kinondoni.
Kwa Tarimba sina shaka
 
Naona alliance ya ACT na CDM kwa mbaliiiiiiiiii. Kuna karata ACT na CDM wanacheza. Ngoja tuangalie
 
Ishakula kula kwake huyu. Akipata kura 2 ashukuru, maana hata mkewe anaweza asimpigie.
 
Yaani unafurahia jimbo kwenda kwa Tarimba (CCM) badala ya wapinzani wenzenu ACT. Hadi mgombea wa Chadema jimbo hilo humpi nafasi kabisa! You are hopeless?!
Kwanini kwenye ukweli usiseme ukweli? Sinaga habari za kuishi kwa matumaini
 
Back
Top Bottom