Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Kinondoni upinzani umeporomoka kiasi hicho hadi Jimbo la zamani la Mdee, Mtulia mmeshashindwa tayari. Haya poa kwa kuulezea ukweli wa mambo. Teh teh tehKwanini kwenye ukweli usiseme ukweli? Sinaga habari za kuishi kwa matumaini
Kula mtama kama wa mibangi!!!!Huyu jamaa bora angeenda Nccr akapumzike na wenzake.....kina 30, Kinondoni anakula Bonge Mtama ....ka Mbasha Mabange [emoji16]
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Na akirudishwa Mtulia je? Halafu kule Ilala Zungu alinaswa na viongozi wa CCM akigawa rushwa.Kuna uwezekana mkubwa wa Abbas Tarimba kushinda ubunge wa kinondoni.
Tayari ccm ina majimbo mawili Dar, ilala na kinondoni.
Kila la herilabda tutaongeza KARUZUKU kidooogo!Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imemteua Saed Kubenea kuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Kinondoni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020, Kubenea alikuwa Mbunge wa Ubungo (2015-2020) kupitia CHADEMA kabla ya kukihama Chama hicho na kuhamia ACT Wazalendo
TAKUKURU NG'ATAAAANajiuliza uyu jamaa kaamua kung'atuka au kang'atushwa?