MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 63
Mkulu GT,unaanza kuwa kama Mrema (TLP).Nahisi kama umefilisika hivi kwenye mambo ya Dataz.
Masanilo sio Bangi hiyo mkuu, yaweza kuwa Dengerua iliyochacha. kwi kwi kwi
Mkulu GT,unaanza kuwa kama Mrema (TLP).Nahisi kama umefilisika hivi kwenye mambo ya Dataz.
TETESI: Inasemekana ktk lile linalosemekana kama "Mafisadi kujibu mapigo ya mashambulizi ya internet" wameamua kuanza kununua majina ya wachangiaji wanaoaminika na kuweka watu wao ili kuwakatisha tamaa wanamapambano wengine na pengine kutukia influence yao janvini kuwabadili mitazamo wachangiaji wengine
I don't care spelling error, I do care core point, though further clarification may be needed.
Upande wangu personally nilishaachana nae siku nyingi, kuanzia usiri wa tindikali, kufungiwa gazeti lake, na kutomwandika JK kuwa fisadi.
Kuna siri ndani ya tindikali mabayo siyo ya kisiasa rather is personal!
Hakututendea haki kusababisha gazeti lake lifungiwe kwa uzembe wake
Hili la JK nalijua vizuri na ataishia kuandika akila EL,RA, mpaka anunue magari 100 kama Shigongo!
Mpaka leo hajajibu tuhuma kuwa Mwanahalisi lina mkono wa Mkulu(japo wanataka watuhaminishe ni la Chadema)!!! Nimemface sijamkwepesha hana jibu!
yetu macho!
I couldnt possibly be partisan in this matter.For one I think its too trivial, and irrelevant. Some do believe that GT has been compromised. I've been here for a considerable while and he was never like this not too long ago. However he could just have a personal conflict with other JF Sharks..lol or maybe he just changed his views. Personally I have no standing on the matter, as this has nothing to do with my objectives here. I think the thread, even after the attempted name change is trivial and unworthy of the time of the "Holy Ones" ..lol
acha utani wewe, Kubenea ni mmliki na mhariri wa gazeti la Mwanahalisi. nafikiri tuendelee na mjadala sasaSuedi Kubenea ndio nani?
SHAHIDI MUHIMU KESI YA ZOMBE
Yego Masika,
Mbona hizo habari zanitia wazimu mieeee, Hayo yanayosema kweliiii au you people your jocking na bongo za watu, unajua ni ngumu kuamini kama ndio huyo brother KUBENEA, nasubiria toleo lake la Jumatano nione atakuwa anajitetea kwa lipi, Mtu huwezi risk life kiasi hicho kwa uzalendo wote huo gafla ubadilike kwa bahasha?????
Me sito amini mpaka ayatamke hayo maneno mwenyewe ama kuna jambo lililotokea hapo kati likazuia hiyo press conference.
mbeeh msibhemo, chila bhugangana eyo, Duuuuhhhhhh
ukiamini hiki utaweza kuamini kuwa mwezi umetengenezwa kwa jibini...