Kubenea kashindwa kumzungumzia Rostam mbele ya Waandishi!

Kubenea kashindwa kumzungumzia Rostam mbele ya Waandishi!

Alizungumza wapi? Kuna rekodi wapi?




Hasha, crusade katika etimology inatoka huko kwenye vita lakini si lazima iwe vita vya kidini, ukifanya campaign for or against an idea/ person with a great passion una crusade tayari.

Mimi nimeitumia kwa maana ya tatu hapo chini

Ona crusade definition | Dictionary.com

1. (often initial capital letter) any of the military expeditions undertaken by the Christians of Europe in the 11th, 12th, and 13th centuries for the recovery of the Holy Land from the Muslims.
2. any war carried on under papal sanction.
3. any vigorous, aggressive movement for the defense or advancement of an idea, cause, etc.: a crusade against child abuse.




Hizo ni personal innuendos ambazo ziko off topic, sasa kama mzee ni dereva au landlord inahusu vipi hapa?



Mu expose vizuri basi, usifanye a half-assed job kama hii.Onyesha vizuri Kubenea unafiki wake uko wapi, we dare talk openly here.

OverNowCdCover.jpg
 
Hivi GT umewahi kuwa personal driver wa Rostum? Hizi details nyingine unazipata wapi?
Ukiwa memba wa klabu kama KANDAMBILI then utapata tuu nyeti

Usiwasikilize hawa watu wa Ulaya na USA wanaojidai wana midata halafu wanaogopa kutia timu bongo

ahhh we acha tuu mnyamwezi wangu
 
you asked for intellectual exchange blueray.. you must be kidding me.. LOL
Rubbish, pure unadulterated rubbish.

You don't get any better niggler. All we ever see from you is this half baked mystical twaddle.

Why don't you actually stop and analyse the stuff you write before you post it?
 
Hivi GT, kule umesema "mama yake Zitto aliiba hela za Vilema na kukimbilia Mwanza". Hapa unasema unamfahamu baba yake Kubenea...........

Hivi wewe mama yako hajulikani? Unajua mambo aliyokuwa akifanya wakati wewe ukiwa mdogo? Watu wakikulima hapa utamlalamikia nani?

Weka hapa DATA za mtu na si kuwanyanyasa wazazi wake. Hii ni sawa na mtu akosane na wewe hapa na yeye kwenda kumchukua mwanao au mdogo wako na kumfanyia mambo MACHAFU. Game Theory, kuwa na FairPlay......

Ngoja nizime generator hapa maana majirani siwapi kulala, Ala msiki.
 
- Wakuu acheni matusi, haya maneno ya bangi na kulewa ni too low kwa great thinkers, GT ameweka hoja ajibiwa kwa hoja ionekane upungufu au nguvu ya hoja zake, pole pole tunaanza kushuka hadhi, great thinkers tunatakiwa kuwa better than this matusi na kejeli, hoja ijibiwe kwa hoja.

Respect.

FMES!
 
Kisa kaongea game theory angeongea mwanakijiji au Invisible same thing mngeona ana make sense ila kwa sababu ni GT mnaona ana lose mind au analipuliza...hebu acheni ukuda!...kama mada huelewi si uulize tuu!....

Acheni fitina
Tatizo sio Game Theory bali hicho alichoandika.Hoja za Mwanakijiji zinaungwa mkono si kwa vile zimeandikwa na Mwanakijiji bali ni substence na logic iliyo ndani na post husika.It's the CONTENT that counts!
 
Mimi ni mtu mdogo sana kumtisha Kubenea

Kubenea anadeal na MAPAPA na NYANGUMI mie ni mtu mdogo sana kwenye hili

Ujumbe ni kuwa mimi namfahamu vilivyo huyu Kubenea na zaidi ya yote hayo hana moral authority ya kupiga vita ufisadi wakati naye ana tendencies za kifisadi

This is bulls**t.We hiyo moral authority ya kumwita Mengi fisadi umeitoa wapi?Na moral authority ya kudai kuwa Kubenea hana moral authority ya kupinga vita ufisadi umeitoa wapi?Au kutoka kwa Rostam?

Haihitaji kuwa sober kubaini kuwa tangu ROSTAM AITWE FISADI PAPA umekuwa ukihangaika kumtetea kwa kila namna.Nina conspiracy theory ndogo kuhusu kwanini unafanya hivyo,and it goes like this:
ROSTAM,KAMA ILIVYO KWA MAFISADI WENGINE,ANATEMBELEA SANA JF KUJUA KINACHOZUNGUMZWA JUU YAKE.I SUSPECT UTETEZI WAKO NI KATIKA KU-IMPRESS RECRUITMENT AGENTS WA ROSTAM,AU TO PUT IT MORE PRECISELY,TO EXCEL BEYOND HIS TALENT SPOTTING EXPECTATIONS.
 
Tatizo sio Game Theory bali hicho alichoandika.Hoja za Mwanakijiji zinaungwa mkono si kwa vile zimeandikwa na Mwanakijiji bali ni substence na logic iliyo ndani na post husika.It's the CONTENT that counts!

- Mkuu with all due respect, hakuna justifications ya matusi na kejeli zilizorushwa, kama kuvuta bangi kama ni kweli unajua it takes mvuta bangi mmoja kumjua mwingine bila hata ya kumuona anavuta!

- Mbona Mwanakijiji, Halisi, na Bluray wamemjibu GT kwa hoja, sasa kweli unasema context ndio iwe sababu ya kumtukana member mwingine hapa kwa sababu wewe member mmoja umeona hoja za mwingine hazina context? Kwa kipimo gani hicho kinachotumika?

- Haiwezekani wote hapa tukawa na akili sawa na mtizamo sawa, kama member ameleta habari hapa apewe nafasi ya kuiendeleza lakini sio kumtisha na maneno mengi na matusi na kejeli, hoja ijibiwe kwa hoja kama haipo itaonekana tu na kama ipo haiwezi kuzimishwa, kwenye siasa kuna maneno mengi sana sasa huwezi kusema unayajua yote na kila siku kuna mapya yanazuka, dawa ni hoja kwa hoja!

Respect.

FMEs!
 
Integrity yako haiko questioned kwa sababu umekataa kumuunga mkono Mengi, bali kwa sababu umeleta kitu kama fact kwamba Kubenea alisema atafanya press conference, kumbe kuja kuangalia mtu ali preface sentensi na "huenda".

Crusade kwa sababu unaonekana kumuandama Kubenea over and over, day in day out, bila ya kuwa na nyimbo mpya zaidi ya hizo za kutibiwa na mafisadi India ambazo nazo hata hazijathibitishika.Ndiyo maana nikatumia neno crusade, in the same sense hiyo hiyo uliyoitoa Wikipedia.

Una kitu personal na Kubenea?


Bluray!!

The whole fisadi war is tough and for sure we must expect some casualties; so Kubenea anaweza akawa mmoja wao. Nafananisha GT anavyomuandama Kubenea sawa na Kubenea alivyomuandama EL, its the same game---you must have a target when fighting, zote ni personal vendeta tu.

Now, since Kubenea naye yumo humu, basi atupe mwanga kidogo la sivyo tutapata wasiwasi kama yanayosemwa ni kweli na hivyo kufifisha vita ya ma-papa

The party has just started
 
- Mkuu with all due respect, hakuna justifications ya matusi na kejeli zilizorushwa, kama kuvuta bangi kama ni kweli unajua it takes mvuta bangi mmoja kumjua mwingine bila hata ya kumuona anavuta!

- Mbona Mwanakijiji, Halisi, na Bluray wamemjibu GT kwa hoja, sasa kweli unasema context ndio iwe sababu ya kumtukana member mwingine hapa kwa sababu wewe member mmoja umeona hoja za mwingine hazina context? Kwa kipimo gani hicho kinachotumika?

- Haiwezekani wote hapa tukawa na akili sawa na mtizamo sawa, kama member ameleta habari hapa apewe nafasi ya kuiendeleza lakini sio kumtisha na maneno mengi na matusi na kejeli, hoja ijibiwe kwa hoja kama haipo itaonekana tu na kama ipo haiwezi kuzimishwa, kwenye siasa kuna maneno mengi sana sasa huwezi kusema unayajua yote na kila siku kuna mapya yanazuka, dawa ni hoja kwa hoja!

Respect.

FMEs!


sema mkuu, tukisema sie tutarushiwa virus kwenye PC zetu, teknolojia bwana!

hakuna namna yoyote ya kumtukana au kumdhalilisha mtu yeyote kwa namna yoyote ile!
 
Rubbish, pure unadulterated rubbish.

You don't get any better niggler. All we ever see from you is this half baked mystical twaddle.

Why don't you actually stop and analyse the stuff you write before you post it?

that was very low of you to bring baba yake kubenea hapa kwenye mjadala ambao haihusiani. Kama unataka kuonesha kuwa Kubenea anatoka Mafia si useme nani wengine mashuhuri wanatokea Mafia ili tuwajue kuliko kuzungusha maneno. Kama Baba yake Kubenea ni fair game si muwaweke baba wa wengine humu nao tujue na magonjwa yanayowasumbua na kuwaua kimya kimya? Ili na sisi tuweze kuwasema watoto wao kuwa mambo wanayoyafanya yanawaletea madhara baba zao?

Au kwa vile baba wa Kubenea anajulikana basi baba wa wengine hawajulikani na watu hawawazungumzi kwenye hoja na watoto wao? This is low and pure unclassy! you know it.
 
GT ameweka hoja vibaya na kuingiza personal issues. The fact is1.Kwenye press com. ya RA, RA ilimtuhumu Kubenea kufadhiliwa na Mengi.2.Kubenea akamjibu, kuwa atamjibu RA kwa Press Conferece ambayo bado hajaifanya na hakuweka time frame ataifanya lini, hivyo ahadi ya Kubenea bado ni valid.3.GT pia alikuwepo kwenye hiyo Press Com ya RA.Kwa maoni yangu, nadhani GT ana something personal na Kubenea, kitendo cha kumchimba kwao wapi, baba yake anafanya kazi gani, lengo ni 'character assasination'Kubenea ni mwandishi kijana mwenye elimu ya wastani, lakini ameibuka na kufanya mambo makubwa kivyake kwenye Mwanahalisi, huku akiwaacha waandishi wakongwe kama GT wenye elimu za juu na madegree ya ulaya, wakiendelea kutumwa from one newesroom to another, matokeo yake baadhi ya watu wanammaindi Kubenea.Mimi binafsi namuadmire sana Kubenea na nilishangazwa na gazeti lake la Mwanahalisi kutangazwa sana na ITV kwa 60sec slot on prime time, Kubenea alinithibitishia Mwanahalisi linalipia airtime, sio bure.Huo ni uthibitisho kuwa Kubenea, sio tuu mwandishi wa kawaida, bali pia ana bussiness mind na bussiness strategy na gazeti lake, ukiwa bussiness minded, lazima pesa utaijua na utajua inapatikanaje be it kukopwa benki, au kukopa kwa matajiri, wawe mafisadi papa au nyangumi, its clean money by the time it reaches you.Mwacheni Kubenea afanye vitu vyake.
 
TETESI: Inasemekana ktk lile linalosemekana kama "Mafisadi kujibu mapigo ya mashambulizi ya internet" wameamua kuanza kununua majina ya wachangiaji wanaoaminika na kuweka watu wao ili kuwakatisha tamaa wanamapambano wengine na pengine kutukia influence yao janvini kuwabadili mitazamo wachangiaji wengine

Hii inawezekana. Maana nilishakuwa na mawazo kwamba labda hawa watu wametangulia mbele ya haki, jamaa zao au watu wao wa karibu wakapata na kuanza kutumia password zao za JF.
 
TETESI: Inasemekana ktk lile linalosemekana kama "Mafisadi kujibu mapigo ya mashambulizi ya internet" wameamua kuanza kununua majina ya wachangiaji wanaoaminika na kuweka watu wao ili kuwakatisha tamaa wanamapambano wengine na pengine kutukia influence yao janvini kuwabadili mitazamo wachangiaji wengine
Duuu hii kali mwoga yeyote hata kivuli chake hukiogopa.hivi akinunuliwa asinunuliwe kinachojadiliwa katika JF ni Hoja au ushabiki?
 
TETESI: Inasemekana ktk lile linalosemekana kama "Mafisadi kujibu mapigo ya mashambulizi ya internet" wameamua kuanza kununua majina ya wachangiaji wanaoaminika na kuweka watu wao ili kuwakatisha tamaa wanamapambano wengine na pengine kutukia influence yao janvini kuwabadili mitazamo wachangiaji wengine

HANGOVER nyingine hiyo
 
Dah,
ya leo kali.
Mi ngoja nikafanye mipango yangu ya kinyemela jina langu litokee kwenye orodha ya wahanga wa bomu lililolipuka jana.
 
Madhara ya bangi bila kula ni makubwa kuliko tunavyoweza kufikiria....
yeah
you made my day mkuu.
mie nadhani jamaa ameshindia uji kwa maji ya madafu, hapo uzishu wake unachafua mpaka ubongo
 
sasa sijui hizo pesa za kumlipa Rostam atazipata wapi maana as time goes na hili suala la Mengi vs Rsotam likipungua then Mengi atamwambia hawezi kulipia malawyers aexpensive kam akina Marando

hizo wenyewe wanaita alama za nyakati
 
Back
Top Bottom