Kubenea kumwagiwa tindikali: Nini chanzo?

Kubenea kumwagiwa tindikali: Nini chanzo?

Status
Not open for further replies.
Thread hii imeonyesha namna gani binadamu wana mapungufu!

Kubenea anaelekea kuungwa mkono kula wake za watu ati kwa kuwa tu anachachafya mafisadi wa namna ile nyingine (mafisadi wa fedha).

Kwa maana nyingine mafisadi wa mapenzi wanahalilishwa kwa kuwa tu ati una-chachafya mafisadi wa fedha na madaraka ambao pia ni watuhumiwa tu kama ilivyo Kubenea kutuhumia ku-changia tendo takatifu na kondoo mwingine wa bwana.

No sooner Ukweli utakuwa wazi Kampuni ya Simu itamaliza kila kitu.

Kumbuka: Kabla ya upepo wa siasa Tanzania neno fisadi lilikuwa na maana hii anayotuhumiwa Kubenea.
 
Thread hii imeonyesha namna gani binadamu wana mapungufu!

Kubenea anaelekea kuungwa mkono kula wake za watu ati kwa kuwa tu anachachafya mafisadi wa namna ile nyingine (mafisadi wa fedha).

Kasheshe,

Una hakika gani kuwa Kubenea anakula wake za watu. So far hii ni allegetion ambayo imetolewa na watu ambao credibility yao iko kwenye toilet huko na wewe unaichukulia kama fact!

Ama kweli unaweza kwenda low!

Kwa maana nyingine mafisadi wa mapenzi wanahalilishwa kwa kuwa tu ati una-chachafya mafisadi wa fedha na madaraka ambao pia ni watuhumiwa tu kama ilivyo Kubenea kutuhumia ku-changia tendo takatifu na kondoo mwingine wa bwana.

Mhh bado unaendelea tu!

No sooner Ukweli utakuwa wazi Kampuni ya Simu itamaliza kila kitu.

Kumbuka: Kabla ya upepo wa siasa Tanzania neno fisadi lilikuwa na maana hii anayotuhumiwa Kubenea.

By the way, nani amekuja na hii strategy huko sisiemu, ni Kingunge au ni fisadi na dikiteta Mukandala?
 
Kuna watu wawili watatu hivi humu ambao wanastahili kumwagiwa tindikali usoni. Sitawataja majina lakini kama ukijihisi kuwa wewe ni mmoja wapo chances are you are!
 
Kuna watu wawili watatu hivi humu ambao wanastahili kumwagiwa tindikali usoni. Sitawataja majina lakini kama ukijihisi kuwa wewe ni mmoja wapo chances are you are!

Hata mimi nawaona kabisa hawa. BTW: Unaendeleaje na mashambulizi kule kwenye thread ya Obama maana mimi nimeshindwa kabisa kuingia. Kila nikijaribu kuingia unatokea ukurasa fulani wa ajabuajabu na sasa nimeamua kukata tamaa na hivi kile kipigo cha NC kimenikata maini kabisa, naanza kuona speed ya huyu kijana hatuwezi kuimsimamisha tena!
 
Hata mimi nawaona kabisa hawa. BTW: Unaendeleaje na mashambulizi kule kwenye thread ya Obama maana mimi nimeshindwa kabisa kuingia. Kila nikijaribu kuingia unatokea ukurasa fulani wa ajabuajabu na sasa nimeamua kukata tamaa na hivi kile kipigo cha NC kimenikata maini kabisa, naanza kuona speed ya huyu kijana hatuwezi kuimsimamisha tena!

Aah ebana eeh....kwa kweli kipigo cha jana kimeniumiza sana. Lakini vyovyote vile huu uchaguzi utavyoenda, heshima yangu kwa Mama iko pale pale. She's a fighter na mpaka sasa Obama bado hajammaliza. Go Mama Go!
 
Si mchezo mambo yaenda yakiongezeka....waungwana mnakosa subira mahakama iamue???? Duh!!!
 
Kasheshe,

Una hakika gani kuwa Kubenea anakula wake za watu. So far hii ni allegetion ambayo imetolewa na watu ambao credibility yao iko kwenye toilet huko na wewe unaichukulia kama fact!
Anayekula wake za watu huitwa fisadi kiwembe kwa mujibu wa Taarabu na Mipasho
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom