Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Amka unaotaKubenea ni zee nafik sana..
Conspiring kwenye kila kitu .
Kwamba Mchome hana akili ya kujua kwamba kuna KM wa chama chake na pia kuna msajili wa vyama vya siasa?
Hizi sumu wanazomwaga ni za kitoto sana..
CDM will be over soon or later na ndunduza za namna hii
Kubenea ameshatupwa kwenye dustbin ya siasaAliyekuwa Mbunge wa Ubungo Mh Saeed Kubenea amemwambia Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika kuwa Ukiona Mwanachadema anakimbilia kwa Msajili wa vyama vya siasa kushtaki ujue kuna Mtu wa Mfumo nyuma yake, kuna Watu hawakubaligi kushindwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono 😀
Res ipsa doozyAmka unaota
Masihara hayo.Hakunaga Mwanachadema anayemfikia Wassira kwa Wingi wa Maarifa na Uwezo wa kujieleza
Tundu Lisu kakimbia Mdahalo 😂🔥
Mkuu kama Banyamulenge wa DRC Congo.Tangu kuasisiwa upya kwa Mfumo wa Vyama vingi vya Siasa hapa Tanzania Mwaka 1992, ndani ya Vyama vya Upinzani wamepandikizwa Mamluki wengi Sana kwenye Vyama hivyo.
Wapo Undercovers na Maafisa Vipenyo wengi Sana ndani ya Vyama vya Upinzani, kazi yao kubwa ni ku-disrupt shughuli halali za Upinzani katika kujenga Haki na Demokrasia
ila kwa sasa kuna chama kimepata mwenyekiti mpinzani kweliTangu kuasisiwa upya kwa Mfumo wa Vyama vingi vya Siasa hapa Tanzania Mwaka 1992, ndani ya Vyama vya Upinzani wamepandikizwa Mamluki wengi Sana kwenye Vyama hivyo.
Wapo Undercovers na Maafisa Vipenyo wengi Sana ndani ya Vyama vya Upinzani, kazi yao kubwa ni ku-disrupt shughuli halali za Upinzani katika kujenga Haki na Demokrasia
ila kwa sasa kuna chama kimepata mwenyekiti mpinzani kweli
Lissu hawezi bishana na mzee bwege kama yule.Hakunaga Mwanachadema anayemfikia Wassira kwa Wingi wa Maarifa na Uwezo wa kujieleza
Tundu Lisu kakimbia Mdahalo 😂🔥
Ana hoja!Kubenea ameshatupwa kwenye dustbin ya siasa
Ni kweli cdm itakufa maana aliyepanga kufia madarakani kakosa uenyekiti😂😂. Maumivu yenu yanaeleweka, kama mlitegemea kuifanya cdm duka lenu, basi duka limepata mmliki mwingine kabla ya ndoto yenu kutimia. Mbowe ana siasa za kishamba sana.Kubenea ni zee nafik sana..
Conspiring kwenye kila kitu .
Kwamba Mchome hana akili ya kujua kwamba kuna KM wa chama chake na pia kuna msajili wa vyama vya siasa?
Hizi sumu wanazomwaga ni za kitoto sana..
CDM will be over soon or later na ndunduza za namna hii
Hakuna namna Lisu ndiyo Mwenyekiti wetuAliyekuwa Mbunge wa Ubungo Mh Saeed Kubenea amemwambia Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika kuwa Ukiona Mwanachadema anakimbilia kwa Msajili wa vyama vya siasa kushtaki ujue kuna Mtu wa Mfumo nyuma yake, kuna Watu hawakubaligi kushindwa
Ni huko Ukurasani X
Mlale Unono 😀
UWT mnaumia na mambo ya CHADEMA lakini chama chenu hakijawahi kuchagua Mwenyekiti, Makamo wala Katibu Mkuu, nyie ni wajinga snHapa chadema wapo kimya, mwenyekiti hakosei yani wamekuwa nyumbu huku katiba ikisiginwa
Bado upo na FAM mkuu?Ni kweli cdm itakufa maana aliyepanga kufia madarakani kakosa uenyekiti😂😂. Maumivu yenu yanaeleweka, kama mlitegemea kuifanya cdm duka lenu, basi duka limepata mmliki mwingine kabla ya ndoto yenu kutimia. Mbowe ana siasa za kishamba sana.
Sasa pilipili usiyoila yakuwashia nini?Bado upo na FAM mkuu?
Mbona mnahamisha magoli daily?
Sasa mimi kwangu CDM ni chama kidogo sana kupata manufaa hapo....,
Manufaa yapo CCM, CDM ni kwa waganga njaa ...
Tusubir tuone.
Tulia, nyie pigeni harakati mwanangu..Sasa pilipili usiyoila yakuwashia nini?
Sasa hapo ndio tunapodhibitisha kuwa Watanzania wengi ni wajinga. Kama tunatambua hilo kwa nini sasa hatuwakatai hao CCM na hilarious zao zote? Kwa nini sasa hivi tumeshapewa njia nzuri ya kuwaondoa walaghai ya NO REFORM NO ELECTION na bado tunakubali kuwasikiliza hao mamluki? Huu ni ujinga wetu wenyewe, Hatujaamka tumelala! Unakubalije kama wewe umeelewa ni walaghai mkeo anakuwa CCM kwenye ulughai? Au mumeo anakuwa CCM kwenye ulaghai? Ni kweli kwa mfumo dume hutaweza kumlazimisha atoke huko, lakini waweza KUMNYIMA hadi akanyooka huku ukimfundisha.Tangu kuasisiwa upya kwa Mfumo wa Vyama vingi vya Siasa hapa Tanzania Mwaka 1992, ndani ya Vyama vya Upinzani wamepandikizwa Mamluki wengi Sana kwenye Vyama hivyo.
Wapo Undercovers na Maafisa Vipenyo wengi Sana ndani ya Vyama vya Upinzani, kazi yao kubwa ni ku-disrupt shughuli halali za Upinzani katika kujenga Haki na Demokrasia
Nadhani wanajisumbua tuu, katiba iko wazi.Huyo mtu aondoke yeye, asiharibu chama. CHADEMA NI CHAMA CHA WATU hakiwezi kufutwa kiholela kwa kuwa mtu huyo hakubali kushindwa
Huyo hafai kabisa ndani ya chama, chama ndio kwanza kinajitahidi kushinda uchaguzi, hakiundi serikali, kweli kama wewe ni mwanachana kwa nini usihoji ndani ya chama na kama hukuridhika ndipo unpotakiwa kusonga mbele.Ni nani huyo