bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,337
- 2,339
- Thread starter
- #21
Vp tena mkuudah aisee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp tena mkuudah aisee!
Sidhani kama upo sawa kiongozi, kuna sehemu fuse imeunguaVp tena mkuu
Hilo liko waz [emoji1666]Siku hizi kupata Original ya Creed mpaka uingie store ya Creed. Na wameshajua watu wanazipenda, unauziwa copy ambayo huwezi itofautisha na original.
Kati ya Creed Aventus 100, original zinaweza zisifike 10.
Kama yako ilivyoungua [emoji3][emoji3]sidhani kama upo sawa kiongozi, kuna sehemu fuse imeungua
Hapo choo cha bi mkubwa nyumbani ni kibovu hakieleweki si ajabu hukumtumia hata 50!...ni usenge mbichi kabisa nisamehe tu mkuu...samahani sana.[emoji3][emoji3] kila mmoja na ndoto zake mzee, nmechukua laki 7 na 50 [emoji3]
[emoji23][emoji23] kabisa mkuu, mi nakula utawala tu mradi choo hko hko watu wanajisaidia kama kawaidaNa
Hapo choo cha bi mkubwa nyumbani ni kibovu hakieleweki si ajabu hukumtumia hata 50!...ni usenge mbichi kabisa nisamehe tu mkuu...samahani sana.
Mkuu naomba distinguish features za hiyo Creed ukicompare na perufmes nyinginezo...maana mir naipenda Royal Mirage..inauzwa Elfu 18 tu.[emoji3][emoji3] kila mmoja na ndoto zake mzee, nmechukua laki 7 na 50 [emoji3]
Shilingi ngapi za kupima?Wacha niendelee na hizi za kupima
Shilingi ngapi za kupima?
Lilikuwa treni au simple bet tu.Tangu 2015 nlikua na ndoto za kumiliki creed Aventus kwasab niko addicted na mambo ya unyunyu, hatimae baada ya kushinda betting wiki iliyopita nimefanikisha ndoto yangu ya kumiliki unyunyu wa CREED AVENTUS,
Huu unyunyu ni balaa [emoji91]
View attachment 1838653
Unazo?Kidogo 10,000 kukaa 20,000 na 35,000 Kubwa kubwa kidogo
Unazo?
Haaa nikajua unauza, unachukuliaga wapi mwenzetu, nataka waniletee kamoja.Nnazo mbili nnazotumia
Haaa nikajua unauza, unachukuliaga wapi mwenzetu, nataka waniletee kamoja.
Hahaha kazi kweli kweli[emoji3][emoji3] kila mmoja na ndoto zake mzee, nmechukua laki 7 na 50 [emoji3]
Sio mbayaHawafanyi delivery
Labda nikuelekeze tu ufuate
[emoji3]Hahaha kazi kweli kweli
Mkuu naomba maelekezo pia, zinapatikana wapi, ukiweza PM.Hawafanyi delivery
Labda nikuelekeze tu ufuate