Kubeti: Huu Ndio mrejesho yangu niingie kwenye mchezo huu miezi 4 ilopita!!

Nielewesheni kuhusu hii BIKO huwa naona watu wanashinda ila siielewi elewi


Achana na hizo habari....
Mchezo unaocheza hujui utashinda vipi.
Hujui mshindi kapatikana vipi..
Hujui kama umeshindwa, umeshindwaje...
Ufanyeje update Ku Improve.
BIKO ni ujinga tu.
 
Kuna member humu alianza kuwa tapeli sababu ya hiyo michezo ya kubet..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo wewe unajua sana hesabu kuliko vichwa wa Vegas? Vegas never lose my friend.. Mwenzenu humu alianza utapeli kwa michezo hiyo, kuwa makini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefanya maamuzi ya busara sana maana jamaa hawana khasara mnalipana wenyewe nae anapata chake na ni ugonjwa mbaya sana ukikuingia penye damu.
 
Hela uitafute mwenyewe, mtu akushauri jinsi ya kutumia?! Kama una bet na nyumbani hakuna chakula, au malazi shida au wawasumbuwa watu hapo sawa kubet hakukufai, ila kwa hasara na faida yako bila kumuumiza mtu naona poa kabisa aise...
Kucheza na stocks kwenye market ni kubet, kupiga kazi miaka 30 halafu mwisho wa siku ukajenga au ukatoka kapa ni kubet, kwa mtazamo mwingine maisha ni ku gamble, so long is it is legal and not addictive..
Kwa wakati wako ndugu achana na haters...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…