Kubeti: Huu Ndio mrejesho yangu niingie kwenye mchezo huu miezi 4 ilopita!!

me kubet siwezi kuacha kwa maana life is so sweet. umepewa utashi na maono sasa kwanini usimeditate na kutengeneza pesa kwa betting. life is so fun.

Mkuu embu eleza vizuri hapa kwenye maono, itashi n ku medidate
 

Pole sana mkuu
 
Padri mcharo bhana utaacha lini umbea?
 
Ukiona unapata hasara kubwa jua hujui kubeti. Aliyekutanmanisha mkeka hakukufunza na namna ya kutengeneza mikeka yenye akili
 
luhilaseko pole sana ndugu kwa kuchelewa kubet basketball..mpaka hivi sasa nimenunua gari discovery 3 mil 48 kwa kubet basketball tu..Nawaangalia tu wanaoponda betting,acheni kubet football karibuni basketball uku pesa nje nje
Mwamba bado uko kwenye harakati?mi niko vzur ktk football,nataka unipe A,B,C za basketball

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Unaweka over 80.5, timu inaishia point 80, ume loss. Bado dakika 6 unahitaji timu ifunge points 5 tu lakini inashindikana, ume loss. Round ya 1,2,3 timu imefunga points 24,27, 22 lakini unakuta round ya 4 imefunga point 11 tu na over yako ya 85.5 ume loss. Ukicheza under ndio hatari zaidi.

Basketball betting stress stress stress na hatari kwa afya yako.
 
[emoji23][emoji23] uchawi upo aisee
 

🤔
 
Wakuu hii Michezo haina faida yoyote... Ukiona mtu anasifia kuwa amepata ujue huyo katumika Kama Mfano ili kuwavuta wengi... Ni mmoja katika elfu Moja. Kimsingi Mataifa Yetu ya Africa yamejiingiza katika hii Michezo mapema Mno kabla hata Uchumi haujasimama. Mtu anaishia kufilisika Kabisa na Hana Cha kufanya... Anabaki maskini wa kutupwa. Wenzetu angalau wana Huduma za kijamii na kiutu kwa Watu maskini na wasiojiweza
 
Kweli inawezekana uchawi upo kabisa nimeshaloose mechi kama mbili hivi kwa tofauti ya 0.5 tu yaana umeweka over 150.5 inatoa 150. Unaweka mechi hata mbili tu lakini moja lazima ikatae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…