Rubbing Salt into a wound....Mkuu bet kwa ustarabu ooh nikwambie kitu we komaa tu na majackpot ya sportpesa, m-bet, betpawa utatoka mkuu trust me
Kwanini Mkuu mi nimemwambia maana kama normal ni kipigo yeye aje tu kwenye jackpot hizi anaweza kuwa anapata pata vibonus si haba😅😁Rubbing Salt into a wound....
Wewe jamaa wewe mungu anakuona!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
acha uongodaily 100k inaingia tafuta odds ya 2.5 weka laki unapata laki profit Sasa wewe endelea kutafuta buku kwa laki itakula kwako daily
Kwahiyo unataka uanzishe betting company uwadange wadangaji
Mwanaume kutumia neno kudanga ni very disturbing...
hahaha! jana kuamkia leo nimepiga 250,000 kwa buku kumi,naachaje kwa mfanoMkuu unaacha kazi???
AISEE
mi ngoja niendelee kupiga kazi
Si ndo hapo sasahahaha! jana kuamkia leo nimepiga 250,000 kwa buku kumi,naachaje kwa mfano
Hiyo ndo raha ya betting sina kazi yoyote ya kuajiriwa ata nikipata ya kuajiriwa bado ntabet tu labda wafunge kampuni zote tuingie Karne nyinginehahaha! jana kuamkia leo nimepiga 250,000 kwa buku kumi,naachaje kwa mfano
Mkuu kwa hesabu hizo ebu tuonyeshe hata kadi ya kagari kako basi au msingi wa bangalow unalojenga..daily 100k inaingia tafuta odds ya 2.5 weka laki unapata laki profit Sasa wewe endelea kutafuta buku kwa laki itakula kwako daily
Acha kudanganya umma wwMkuu bet kwa ustarabu ooh nikwambie kitu we komaa tu na majackpot ya sportpesa, m-bet, betpawa utatoka mkuu trust me