Kubeti ni kama kudanga tu!

Kubeti ni kama kudanga tu!

Sijaona maendeleo yoyote tangu nianze kubeti miaka 3 iliyopita.

Wenzangu na mimi hali ikoje? Naweza kupata maujuzi zaidi ama niachane na kudanga huku?
Tena madanga yangu km ya wanawake wa Buza, leo nimepata buku siku mbili sipati kitu. Nikipata elfu kumi inapita wiki mbili cjapata chochote!!!!

Wahujumu uchumi wangu ni:
-Meridian bet
-Mkeka bet
-Premier Bet

MUHIMU: Kuanzisha kampuni ya kubeti inahitaji mtaji kiasi gani?
MWISHO: Nawataki Betting Njema, kizuri kula la mwenzako. Eid Mubarak
Kubet ni kununua matumaini kwa pesa yako. Acha hiyo kazi mkuu utawehuka
 
Nawashukuruni wote kwa michango yenu...
 
Mkuu bet kwa ustarabu ooh nikwambie kitu we komaa tu na majackpot ya sportpesa, m-bet, betpawa utatoka mkuu trust me
Kwani kuna tofauti gani kati ya Yale niliyoyataja na haya kwako mkuu. Napenda kujua zaidi
 
Rubbing Salt into a wound....
Wewe jamaa wewe mungu anakuona!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
May be ana point... ... Ni swala la kufuatilia zaidi
 
hahaha! jana kuamkia leo nimepiga 250,000 kwa buku kumi,naachaje kwa mfano
Vipi unapigaga hizo mara ngapi kwa wiki mkuu hiyo ndo shida yangu. Unaweza ukakaa hata miezi 2 hujapiga hata laki..... 🤔🤔
 
Hiyo ndo raha ya betting sina kazi yoyote ya kuajiriwa ata nikipata ya kuajiriwa bado ntabet tu labda wafunge kampuni zote tuingie Karne nyingine
Hahahaaa........ Ije mvua lije jua umekula yamini😀😀
 
Back
Top Bottom