Wana JF kama ushawahi kuhisi seat yako ya moto kaa na mtu amevimbewa na mbaya zaidi anabeua harufu mbaya kama vile tumboni kumetokea muozo wa siku nne utakoma kuwepo pale na ukitaka kujua haivumiliki kajaribu haya leo
Kula mayai, chukua na karanga mbichi halafu shushia na mihogo mibichi hayo yote kula yakutosha ukiikosa ujue mashine yako imetengenezwa kwa miti haipatag kutu JE? HI INAITWAJE KWA KISWAHILI Duh kiswahili kindeemaa! (kigumu) natanguliza shukrani
Kula mayai, chukua na karanga mbichi halafu shushia na mihogo mibichi hayo yote kula yakutosha ukiikosa ujue mashine yako imetengenezwa kwa miti haipatag kutu JE? HI INAITWAJE KWA KISWAHILI Duh kiswahili kindeemaa! (kigumu) natanguliza shukrani