mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Hakika TFF sidhani kama wana dhamira ya kuinua soka la Tanzania.TFF in kikundi cha watu wababaishaji waliojipanga kushusha soka la Tanzania kuanzia Timu ya Taifa mpaka Vilabu vyetu huku wakipiga Hela za FIFA.
TFF pamoja Na kujua kabisa kuwa Kocha mzawa Charles Boniface Mkwassa ameshindwa kuifundisha timu hiyo lakini TFF imemng'ang'ania Kocha huyo Na hakuna juhudi zozote za makusudi za kumtafuta Kocha mpya hali ambayo tunahisi kuna maslahi binafsi katika mkataba wake.
Tunaviomba vyombo husika ikiwa pamoja Na Waziri husika zichukuliwe hatua za kuliokoa Soka la Tanzania.
TFF pamoja Na kujua kabisa kuwa Kocha mzawa Charles Boniface Mkwassa ameshindwa kuifundisha timu hiyo lakini TFF imemng'ang'ania Kocha huyo Na hakuna juhudi zozote za makusudi za kumtafuta Kocha mpya hali ambayo tunahisi kuna maslahi binafsi katika mkataba wake.
Tunaviomba vyombo husika ikiwa pamoja Na Waziri husika zichukuliwe hatua za kuliokoa Soka la Tanzania.