Kuboronga kwa Waamuzi Tanzania nini mwarobaini wake?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Si Mara ya kwanza kwa waamuzi nchini Tanzania kulalamikiwa kwa maamuzi mabovu Tena ya wazi kabisa

Achana na mechi ya Jana ambayo golikipa alifanya ya kuyafanya Tena refa alikuwa jirani kabisa lakini alimeza filimbi

Ligi ndyo kwanza inaanza wiki ijayo TFF liangalieni hili jamani

Uzi huu tuwataje waamuzi ambao wanaboronga tuanze ngao ya jamii Hadi ligi kuu 2023/2024
 
Kaangalie mechi ya boca junior
Red card 9
Mechi iliisha dakika 105
 
Dpw
 
Kaangalie mechi ya boca junior
Red card 9
Mechi iliisha dakika 105
Red card tisa na mpira ukaendelea!Unajua sheria inaruhusu wachezaji wangapi uwanjani yaani minimum!

Number of Players
A match is played by two teams, each with a maximum of eleven players; one must be the goalkeeper. A match may not start or continue if either team has fewer than seven players.

Sasa tuseme upande mmoja ulikula kadi 5 na mwingine kadi 4!Hapo huoni timu moja itakuwa na wachezaji 6 uwanjani ambapo kanuni itakuwa imevunjwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…