Kubwa la magaidi ya HAMAS lilitumia gari ya misaada kutorokea Gaza Kusini


Source ni hawa wasiokuwa riziki?

 
Uzuri nakupa maandiko yenu
tena nakuewekea maandiko MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245:
Sema nyie mkiyafanya na mikanzu mnaonekana kituko sana




Picha zako uchwara zinahusika vipi na Gaza au HAMAS ndugu?

 
Huyo gaidi akidakwa cha moto atakiona,amesababisha wapalestina wanaishi maisha ya digi digi.
 
Bado sijajua kati ya wale watu waliowateka ni watu weusi tu ndo waliouliwa au kuna hata wa asili tofauti, ila vifo vya watu wausi ni ishara ya dharau na ubaguzi mkali sana kwa bara la Africa kwa kujua kwamba ni maskini hawajiwezi kwa lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…