Kuchagua mke wa kuoa sio rahisi, nitabaki single sioi tena

Kuchagua mke wa kuoa sio rahisi, nitabaki single sioi tena

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Ni ngumu mno kumpata mwenza wa maisha, ukiamua tu kuwa na mtu kuna kitu kinaibuka unajiuliza hivi huu ndio mwanzo hata wiki au mwezi wa kufahamiana bado, duh tayari nimepata picha huko mbeleni itakuwaje. Mwenye ubavu aoe au aolewe na avumilie yatakayo mtokea ila someni dalili za mnvua kama mawingu tayari unajua nini cha kufanya.

Anayetaka kuoa au kuolewa ajiandae kisaikolojia kuwa litakalo tokea atakuwa tayari kukabiliana nalo, ndoa zetu sisi wa Lutheri (Lutheran) hazivunjwi hazina talaka lazima ukomae hadi mmoja atakapo fariki ndio utaruhusiwa kuoa tena, kwa hiyo hapa kuna kazi sana, pamoja na katabia kakupenda kuchagua chagua sawa ila hapa lazima mkubaliane, hata hivyo kina dada wengi wametendwa na wao wanaogopa lazima watupime kama sisi ndio wenyewe au tuna uwezo wa kuwahudumia kikamilifu na wasiposoma wanaishia zao. test pande zote lol hatari.
Mwenyezi Mungu anisaidie nisiwe mzinifu kamwe.
 
Ni ngumu mno kumpata mwenza wa maisha, ukiamua tu kuwa na mtu kuna kitu kinaibuka unajiuliza hivi huu ndio mwanzo hata wiki au mwezi wa kufahamiana bado, duh tayari nimepata picha huko mbeleni itakuwaje. Mwenye ubavu aoe au aolewe na avumilie yatakayo mtokea ila someni dalili za mnvua kama mawingu tayari unajua nini cha kufanya.

Anayetaka kuoa au kuolewa ajiandae kisaikolojia kuwa litakalo tokea atakuwa tayari kukabiliana nalo, ndoa zetu sisi wa Lutheri (Lutheran) hazivunjwi hazina talaka lazima ukomae hadi mmoja atakapo fariki ndio utaruhusiwa kuoa tena, kwa hiyo hapa kuna kazi sana, pamoja na katabia kakupenda kuchagua chagua sawa ila hapa lazima mkubaliane, hata hivyo kina dada wengi wametendwa na wao wanaogopa lazima watupime kama sisi ndio wenyewe au tuna uwezo wa kuwahudumia kikamilifu na wasiposoma wanaishia zao. test pande zote lol hatari.
Mwenyezi Mungu anisaidie nisiwe mzinifu kamwe.
"" ndoa zetu sisi waluther hazivunjwi wala kutoa talaka n mpaka mmoja afe ""
Unaweza ukanipa maandiko yanayosema hivyo katika biblia?
Nayasubiri mkuu kama yapo
 
Kuoa hutaki na kuzini hutaki?

Na kupiga puchu biblia inasema ni dhambi.
 
Kuoa siyo kitu kikubwa saana na ndo maana katika amri kumi za mungu hakuna sehemu inayosema oeni, ila unaweza kushiriki katika zoezi la kutekeleza ilani ya kuijaza dunia, (zaeni muongezeke)
 
Ni ngumu mno kumpata mwenza wa maisha, ukiamua tu kuwa na mtu kuna kitu kinaibuka unajiuliza hivi huu ndio mwanzo hata wiki au mwezi wa kufahamiana bado, duh tayari nimepata picha huko mbeleni itakuwaje. Mwenye ubavu aoe au aolewe na avumilie yatakayo mtokea ila someni dalili za mnvua kama mawingu tayari unajua nini cha kufanya.

Anayetaka kuoa au kuolewa ajiandae kisaikolojia kuwa litakalo tokea atakuwa tayari kukabiliana nalo, ndoa zetu sisi wa Lutheri (Lutheran) hazivunjwi hazina talaka lazima ukomae hadi mmoja atakapo fariki ndio utaruhusiwa kuoa tena, kwa hiyo hapa kuna kazi sana, pamoja na katabia kakupenda kuchagua chagua sawa ila hapa lazima mkubaliane, hata hivyo kina dada wengi wametendwa na wao wanaogopa lazima watupime kama sisi ndio wenyewe au tuna uwezo wa kuwahudumia kikamilifu na wasiposoma wanaishia zao. test pande zote lol hatari.
Mwenyezi Mungu anisaidie nisiwe mzinifu kamwe.
[emoji106] [emoji106] [emoji106] I agree with You comrade
 
Muombe Mungu atakua ubavu wako tu hashindwi kitu,ila ukitumia akili zako lazima uchemke akuongoze Mungu.
 
Kuoa siku izi kumekuwa kugumu sababu zifuatazo
1.unampenda mtu ambaye hata akiona sms yako hastuki
2.wanaotupenda na kututhamin tunawachukulia poa
3.tunaishi kwa mategemeo makubwa
4.hii ya mwisho ndo balaha wengi tuliokwenye mahusiano hatujawah kujua tunachotaka
 
Kuoa siku izi kumekuwa kugumu sababu zifuatazo
1.unampenda mtu ambaye hata akiona sms yako hastuki
2.wanaotupenda na kututhamin tunawachukulia poa
3.tunaishi kwa mategemeo makubwa
4.hii ya mwisho ndo balaha wengi tuliokwenye mahusiano hatujawah kujua tunachotaka
I second this
 
"" ndoa zetu sisi waluther hazivunjwi wala kutoa talaka n mpaka mmoja afe ""
Unaweza ukanipa maandiko yanayosema hivyo katika biblia?
Nayasubiri mkuu kama yapo
Mwinjilisti au Mchungaji yeyote wa Kilutheri atakufafanulia na kukupa maandishi, nimeambiwa hivyo.
 
Back
Top Bottom