Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
- Thread starter
-
- #21
Kazi hiyo huwa sifanyi na sijawahi hata siku moja, nikinywa maji ya SUBIRA vile vimbegu vidogo vya mti wa nina kaa mwaka mzima nimepoa kama aliyepooza hata ushtue hakuna kitu.So mzee utaoa vipande vya soap tu
sijiungi na chama chochote, nipo tu na ntakuwa buzy na kaziNakushauri jiunge CHAPUTA
Ndio, na hivi duniani tunakoishi hakunaga malaika anayeweza kuolewa ndo basi tenaKuoa hutaki na kuzini hutaki?
Na kupiga puchu biblia inasema ni dhambi.
Ahsante sana.Muombe Mungu atakua ubavu wako tu hashindwi kitu,ila ukitumia akili zako lazima uchemke akuongoze Mungu.
2,3,4 safi sana, nashukuru kwa kuyaona haya na ndio yanayo katisha tamaa sana tena kwa kiasi kikubwa. mtu anakubali kuolewa au kuoa lakini anayo mengi anayoyafikiria ayapate. mfano mmoja alinambia akija tu kwakuwa mimi nina usafiri na yeye nimuandalie wakwake nikaona hii sio bahati yangu huenda ni ya mwingine.Kuoa siku izi kumekuwa kugumu sababu zifuatazo
1.unampenda mtu ambaye hata akiona sms yako hastuki
2.wanaotupenda na kututhamin tunawachukulia poa
3.tunaishi kwa mategemeo makubwa
4.hii ya mwisho ndo balaha wengi tuliokwenye mahusiano hatujawah kujua tunachotaka
tuwekeane sumu halafu tukatishane maisha njiani, maana yake mwanamke au mwanaume akiona una hela tayari akulishe sumu ufe ili abaki na mali sio, ahaha hii yakwako kali sanaSi muwe mnawekeana sumu.
unataka umchoshe mama wewe acha kabisa, mwanamke akifanya yake ya kukukwaza utamlaumu mama na kumwambia alikosea kukuchagulia sio, usimbebeshe mama mzigo.Kazi ya kutafuta mke nimemuachia mama yabgu
Mkuu umetumia AKILI KUBWA, ungezaliwa kabla ya mkulu Tz tungekuwa na viwanda vingi.Kuoa siku izi kumekuwa kugumu sababu zifuatazo
1.unampenda mtu ambaye hata akiona sms yako hastuki
2.wanaotupenda na kututhamin tunawachukulia poa
3.tunaishi kwa mategemeo makubwa
4.hii ya mwisho ndo balaha wengi tuliokwenye mahusiano hatujawah kujua tunachotaka
Mazingira yangu yako hivi, siku za kazi asubuhi naamka nafanya usafi, napika chai naenda kwenye kibarua, mchana nakula huko, jioni napitia sokoni kama sina kitu ndani napika nakula, nafanya mengine naoga nalala. siku zisizo za kazi naamka asubuhi nafua, nafanya kazi zingine basi maisha yanaenda kwa hiyo siwezi tegemea msichana wa kazi au mke kuwa atanisaidia NO nimezoea.usiseme hivyo ukiwa mwanaume uliyekamilika kuna muda akili na mwili vinahitaji uwe na mtu wa kuishi nae,yani kunakuwa na mazingira ww mwenyewe unajiona hujakamilika
Utakua na element za Tito [emoji23]Kazi
Kazi hiyo huwa sifanyi na sijawahi hata siku moja, nikinywa maji ya SUBIRA vile vimbegu vidogo vya mti wa nina kaa mwaka mzima nimepoa kama aliyepooza hata ushtue hakuna kitu.
Umri umeenda kidogo niko kati ya 40-43Una miaka mingapi
Hata ukifanya interview watajibu ya uongo tu mwisho wa siku unashangaa unaanza tena kumlaumu au mnaanza kulaumiana.Ifikie kipindi mtu akitaka kuoa anatangaza mabinti wanatukuja anawafanyia interview
Huwezi mtafuta mke au mume ndani ya mwezi mmoja hata kidogo.Ndo tatizo la kutaka kupata mke ndani ya mwezi mmoja ndo matokeo yake unakuja kujaza server za JF tu....tulia dogo,muda ukifika utaoa tu,kwasasa endelea tu kupiga puli...weka akiba ya maneno.
Mkuu utaweka vigezo vyako atleast utampata mwenye vigezo, kuna mabinti wana wazuri na wastaarabu ila wana IQ ndogo sana.Hata ukifanya interview watajibu ya uongo tu mwisho wa siku unashangaa unaanza tena kumlaumu au mnaanza kulaumiana.