Akademician
Senior Member
- May 20, 2015
- 143
- 36
Kuna ndugu yetu ni mwalimu wa shule ya msingi wa ngazi ya cheti,
Mwaka huu kaapply Diploma in Primary Education.
Vipi matokeo ya kuchaguliwa yameshatoka wakuu?
Tusaidiane.
yapo njiani ndugu..
Kuna ndugu yetu ni mwalimu wa shule ya msingi wa ngazi ya cheti,
Mwaka huu kaapply Diploma in Primary Education.
Vipi matokeo ya kuchaguliwa yameshatoka wakuu?
Tusaidiane.
Nenda web ya nacte. Yana zaidi ya wiki 2 toka yatoke.
Upo siriasi mkuu?
Kama wewe ulitania na Mimi nimekutania.
hahahahahaaaaaaa sina mbavu yeewrewwwwwwwww.watu mna masihara balaaaaa
Ila mimi sijauliza kwa masihara mkuu,
Bali nina lengo kupata taarifa ndugu.
Hivyo kama una taarifa kuhusu hili tujuzane.
Je umeshaenda kuangalia kwenye web ya nacte ukaikosa mkuu????
Angalia vizuri. Au labda wameliondoa temporary watalirudisha.ila uhakika lipo.
Kuna ndugu yetu ni mwalimu wa shule ya msingi wa ngazi ya cheti,
Mwaka huu kaapply Diploma in Primary Education.
Vipi matokeo ya kuchaguliwa yameshatoka wakuu?
Tusaidiane.
Deadline ilikuwa jmosi,we tulia usiwe na shaka.kwa taarifa za hapa na pale ingia kwenye profile yako.
Acha kumvuruga mwenzako kauliza kweli wewe unaleta ukilaza wako hapa.!
Tatizo la watanzania ni wavivu.pamoja na wewe unamsapaoti MTU asiyetaka kusoma. Ingia hapa basi
WAHITIMU WA KIDATO CHA NNE WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA STASHAHADA YA ELIMU 2015/2016
Na mje msema nilikua naleta ukilaza au nyinyi ndio vilaza???
Au labda anamaanisha ile ya wale Form 4 waliochaguliwa program maalum Diploma ya walimu wa sayansi UDOM.
Huyu kunguni ndo anasemea hizo.
Basi naamini ameelewa,
Tuelekezane tu, ila usimwite "kunguni."