Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Kampeni za chama zimeisha na tayari chama kimempata mgombea ambaye ni Tundu Lissu. Tunampeleka kwenye mkutano mkuu na naamini atapata baraka za mkutano mkuu.
KAZI ZINAZO FUATA NI KUMUUZA MGOMBEA NCHI NZIMA
Mgombea wetu amaleta msisimko mkubwa kwa wanachama wa Chadema na hasa wajumbe. Hali hii kwa wanachama inaeleweka Lissu ni shujaa lakini kwa wananchi wa Tanzania bado yapo maswali wanampokea kama shujaa ama kama msaliti?
Wakuu kila mtu anaweza kutoa maoni yake na akawa sawasawa kwa muono wake, lakini siasa ina takiwa kuwa na uchambuzi ambao hauna macho ila unajua ukweli tuu, na kwa kufanya hivi ndio chama kitabaki salama.
SWALI: Je, Tundu Antipas Lissu ndio Chadema, yaani Lissu ndio chama?
JIBU : Hapana ila Lissu ni mmoja ya wanachama wanaogombea kupeperusha Bendera ya Urais wa Tanzania kupitia Chadema.
SWALI: Je, Lissu akishindwa katika Uchaguzi mkuu kupata Urais wa Tanzania kwa hiyo Chama cha Chadema kife?
JIBU: Hapana cham lazima kiendelee na ndio ilivyo vyama vingi Duniani.
SWALI: Katika kila kinyag'anyiro cha Uongozi wote wanaoshindwa wanaondoka kwenye chama?
JIBU: Hapana ila uchaguzi wowote ule lazima utengeneze makundi ili kutengeneza ngome ya Ushindi.
SWALI: Je, uchaguzi huu unaweza kuwa tofauti na chauzi zingine zilizo pita na hata mifano ya nchi nyingine?
JIBU: Hapana ila uchaguzi wowote ule Mkali huacha makovu makubwa ama ndani ya chama au kati ya chama na vyama washindani.
SWALI: Tunayo mifano ya chaguzi zilizo pita zili acha makovu makubwa kwenye chama chetu ili iwe kama mfano?
JIBU: Chaguzi za Ubunge Jimbo la Kinindoni tulipo rudia Baada ya Mh. Mtulia kuhama chama.
SWALI: Madhila chama kilicho yapata jee yamepona ? na chama kipo imara sana sasa hivi kuliko kabla ya Uchaguzi?
JIBU: Hapana chama kilipigika
1) Kwa Wabunge kupoteza muda mwingi Mahakamani.
2) Chama kilipoteza pesa nyingi kwa kukodisha mawakili
3) Wabunge kutumia muda mwingi nje ya bunge na kupoteza posho.
4) Wabunge na viongozi kulala gerezani (mahabusu)kwa mara kwa mara
5) Kulipa faini kubwa baada ya hukumu na hatuna hakika sana ni Wabunge na viongozi, Chama au wanachama ndio walio lipa hiyo faini?
Sasa hivi Viongozi wakitaka kuwa wakweli watakuambia Chadema kimepigika na kuchakaa na nguvu ya kutosha ya chama imetawanyika.
SWALI: Chama kinaweza kuvumilia tena kwa miaka 5 kipigo kilicho kipata kwa miaka mi 5 iliyo pita?
JIBU: Chama hakina uwezo huo kwa leo, kwa hiyo tunakiwa kujitibu majeraha kwa hii miaka mitano ili tujenge uwezo na nguvu ya kutosha.
TUMPE BENDERA LISSU ILI TUPOTEZE CHAMA, AU TUMPE NYALANDU ILI TUJITIBU MAJERAHA NA TUBAKI NA CHAMA CHETU?
CCM Conservatives wanataka Lissu ashinde ili mkulu akifute chama kabisa. Kwa sababu katika vitu Mkulu hapendi ni kadharauliwa.
Lissu ameachiwa sio kwa sababu ya huruma, HAPANA: ameachiwa ili afanye kampeni yake ndani ya Chadema atimize CCM kulia lia wanavyotaka. Nina mengi lakini kwa leo I rest my case.
KAZI ZINAZO FUATA NI KUMUUZA MGOMBEA NCHI NZIMA
Mgombea wetu amaleta msisimko mkubwa kwa wanachama wa Chadema na hasa wajumbe. Hali hii kwa wanachama inaeleweka Lissu ni shujaa lakini kwa wananchi wa Tanzania bado yapo maswali wanampokea kama shujaa ama kama msaliti?
Wakuu kila mtu anaweza kutoa maoni yake na akawa sawasawa kwa muono wake, lakini siasa ina takiwa kuwa na uchambuzi ambao hauna macho ila unajua ukweli tuu, na kwa kufanya hivi ndio chama kitabaki salama.
SWALI: Je, Tundu Antipas Lissu ndio Chadema, yaani Lissu ndio chama?
JIBU : Hapana ila Lissu ni mmoja ya wanachama wanaogombea kupeperusha Bendera ya Urais wa Tanzania kupitia Chadema.
SWALI: Je, Lissu akishindwa katika Uchaguzi mkuu kupata Urais wa Tanzania kwa hiyo Chama cha Chadema kife?
JIBU: Hapana cham lazima kiendelee na ndio ilivyo vyama vingi Duniani.
SWALI: Katika kila kinyag'anyiro cha Uongozi wote wanaoshindwa wanaondoka kwenye chama?
JIBU: Hapana ila uchaguzi wowote ule lazima utengeneze makundi ili kutengeneza ngome ya Ushindi.
SWALI: Je, uchaguzi huu unaweza kuwa tofauti na chauzi zingine zilizo pita na hata mifano ya nchi nyingine?
JIBU: Hapana ila uchaguzi wowote ule Mkali huacha makovu makubwa ama ndani ya chama au kati ya chama na vyama washindani.
SWALI: Tunayo mifano ya chaguzi zilizo pita zili acha makovu makubwa kwenye chama chetu ili iwe kama mfano?
JIBU: Chaguzi za Ubunge Jimbo la Kinindoni tulipo rudia Baada ya Mh. Mtulia kuhama chama.
SWALI: Madhila chama kilicho yapata jee yamepona ? na chama kipo imara sana sasa hivi kuliko kabla ya Uchaguzi?
JIBU: Hapana chama kilipigika
1) Kwa Wabunge kupoteza muda mwingi Mahakamani.
2) Chama kilipoteza pesa nyingi kwa kukodisha mawakili
3) Wabunge kutumia muda mwingi nje ya bunge na kupoteza posho.
4) Wabunge na viongozi kulala gerezani (mahabusu)kwa mara kwa mara
5) Kulipa faini kubwa baada ya hukumu na hatuna hakika sana ni Wabunge na viongozi, Chama au wanachama ndio walio lipa hiyo faini?
Sasa hivi Viongozi wakitaka kuwa wakweli watakuambia Chadema kimepigika na kuchakaa na nguvu ya kutosha ya chama imetawanyika.
SWALI: Chama kinaweza kuvumilia tena kwa miaka 5 kipigo kilicho kipata kwa miaka mi 5 iliyo pita?
JIBU: Chama hakina uwezo huo kwa leo, kwa hiyo tunakiwa kujitibu majeraha kwa hii miaka mitano ili tujenge uwezo na nguvu ya kutosha.
TUMPE BENDERA LISSU ILI TUPOTEZE CHAMA, AU TUMPE NYALANDU ILI TUJITIBU MAJERAHA NA TUBAKI NA CHAMA CHETU?
CCM Conservatives wanataka Lissu ashinde ili mkulu akifute chama kabisa. Kwa sababu katika vitu Mkulu hapendi ni kadharauliwa.
Lissu ameachiwa sio kwa sababu ya huruma, HAPANA: ameachiwa ili afanye kampeni yake ndani ya Chadema atimize CCM kulia lia wanavyotaka. Nina mengi lakini kwa leo I rest my case.