Inawezekana mianya kama hii katiba mpya ikaiziba ... lakini Kwa mwenendo wa sasa wa ukusanyaji maoni ulivyokua watu wanakesha kulumbana mambo yasiyo ya msingi kama UDINI na mambo ya uchinjaji...unategemea mianya kama hii isiwepo?? Nimewahi kutoa maoni yangu kwenye jukwaa moja la kisheria pale CHUO KIKUU MLIMANI ya kwamba ni kwa nini mahakama ikawa chini ya wizara ya SHERIA na katiba ambayo ni sehemu ya EXECUTIVE PARTY of the government a,bayo iko chini ya WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA na chini ya wziri mkuu na chini ya makamu wa raisi na chini ya rais??Ili hali MAHAKAMA inatakiwa iwe na nguvu sana na BUNGE na EXECUTIVE...na nkawauliza kwa nini BUNGE haliko chini ya wizara yoyote?? hawakunipa majibu...cha ajabu hata kwenye maoni yao ya katiba hili sikulisikia likitamkwa zaidia ya kulilia tu RAIS apunguziwe madaraka ya kuteua majaji.. CHADEMA walipoomba BUNGE maalumu la katiba walikua na maana pana sana hasa ya kuziba mianya kama hii(maana bunge la katiba huongozwa na wanasheria waliobobea katika masuala ya katiba)...lakini kwa uelewa finyu wa watanzania wakawaona sio..sasa usitegemee mianya kama hii itazibwa
Hili nalo (kubagua Watanzania katika mafungu) kuwekwa kwenye katiba ni sawa na gumzo la uchinjaji.
Too fine a detail. Too indefinite.
Suppose tunakubali.
Tuanzie wapi tuishie wapi? Watoto wa marais na mawaziri? Manaibu waziri je? Vipi makatibu wakuu na wakurugenzi? Mabalozi? Au tufanye wote waliowahi kukaa Oysterbay na Masaki wapigwe ban? Upanga napo vipi mbona pamekaa kidosi?
Pretty sure soon tutajikuta tunapoteza focus kama mauaji yaliyofuata Ufaransa baada ya mapinduzi ya kumuondoa Louis XVI 1789 - 1799.
Tuanzie wapi tuishie wapi?
Watoto wa "nje" je kina Nape na William?
Watoto wa kufikia je kina Peter?
Watoto wa ku adopt je kina Kipi?
Watoto wa wake wa pili kina Salama?
Mashemeji je kina Ernie? Wanaweza kushikishwa mikoba ati.
Na vipi kama mtoto anajishtukia alibambikiwa baba ambaye si wake?
Wajukuu kina Judy wanahusika? Vipi wakwe waliooa na kuolewa katika familia hizi kama kina Sabina?
Nyumba ndogo kina mama Mary nazo? Zihesabiwe? Tukiziacha tunaweza kuacha loophole.
Where exactly do you draw the line? And why there, not a step further?
Na tutahakikishaje kwamba mtu baki hawezi kufanywa mtoto wa mkulu baada ya kuwa waziri?
Tunarudi kwenye voter education, merit based appointments and culture of responsibility.