Kuchanganya ma-file ya wanawake

Kuchanganya ma-file ya wanawake

City Owl

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
3,475
Reaction score
7,571
Wakuu,
Jana usiku kuna namba ngeni ilinicheki. Sikupokea.

Leo asubuhi naitext 'Hello', ikafuata 'Hi City Owl, I miss you'
Akili ikanipeleka moja kwa moja kwa dem mmoja nilipita naye mwezi uliopita, kisha, pamoja na uzuri na utamu wake, nikampotezea baada ya kujua kaolewa.
Mimi hukwepa wake za watu kabisa.

Kujiskilizia mwili, nikaona kabisa nina upwiru, so yafaa niupunguze kidogo.

Basi, nikampanga dem tumeet Ile lodge tulikutana last time.

Wakuu, nikatangulia kubook room, Dk. 20 hivi anasema kafika. Kwenda kumpokea, aaaah...wakuu limetokea demu ambalo nilipiga chini 2022 huko baada ya kuwa chabunene (sivutiwi na mabonge) mtumbo wa beer unaning'inia..linajichekesha.

Wakuu, nilishtuka sana, nikajitahidi kubakia composed, excitement ikakata najiuliza nilitimue tu au la!

Nimejilaumu sana kwa kukosa umakini hata kujikuta room moja na Chabunene tena.

Swali likawa, napiga hiyo old pu**y au sipigi! 😀

Ulishawahi kuchanganya mafaili?
 
Kwahy ikawaje sasa? Ukapiga nyapu ya chabunene au ulikimbia uwanja wa vita?
Bro, sikuwa na namna.. nilipiga kamoko ka kupunguza stress, kuondoa lawama na walau kujihisi kama ile pesa nimelipa lodge imeenda kihalali.
Ila nilikuwa nimenunua mawine na vidudedude kwa ajili yake kwa begi. Hivyo hata sikumuonesha, maana hakuwa muhusika in first place..
 
Bro, sikuwa na namba.. nilipiga kamoko ka kupunguza stress, kuondoa lawama na walau kujihisi kama ile pesa nimelipa lodge imeenda kihalali.
Ila nilikuwa nimenunua mawine na vidudedude kwa ajili yake kwa begi. Hivyo hata sikumuonesha, maana hakuwa muhusika in first place..
Ungempa tuu mana ilikuwa n riziki yake kwa wakat huo, mbona **** ulimpa
 
Back
Top Bottom