Kuchanganya ma-file ya wanawake

Pole sana,sisi wazee wa tinder na tagged hizi ajali za hivi ni kawaida tu na tumeishazoea.
 

Attachments

  • 20240911_141855.jpg
    242.4 KB · Views: 2
Noma bhana..
Wewe uligonganisha mamanzi au ulichanganya mafaili ya namba mkuu?
Sikuchanganya mafile mzee,wataalam wa dating sites kama tinder,badoo na tagged wanaelewa hii kitu.una chat na pisi tena ni pisi hasa ukiiona kwenye profile picture,unafanya bargaining na kinachobaki ni kukutana ili ukapige utelezi.sasa hapo kwenye kukutana hapo ndo unakutana na chabunene.Unaweza kukimbia😁😁🤣🤣🤣
 
Tukutane 20/09

Nchi ikiwa na amani na mtawala sahihi hao machibunyenye watarudusha mwili na utawachakata vyena
 
Aaagh, Mimi haipiti siku 3 siwachanganyi....mbona kawaida sana hii hali
 
Kwa hiyo hapa unahitaji msaada wa mawazo gani haswa?
 
Kupunguza hiyo kero tafuta line mpya mkeo akikuuliza mwambie kwa akili ya simbanking itembeage kwenye waleti au itafutie pin zakutosha kwajili ya mbususu tu, hutajutia tukiamua unaizima mwezi ukimisi ushenzi unawasha unapiga hutakutana na madudu hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…