deNavigator
Member
- Sep 22, 2018
- 49
- 63
Natamani Niwajibu wote ila ngum.Karibu tukuhudumie mkuu.
Kwani Moyo nao una kazi nao?
😂 Mara useme pesa sio kipaumbele mara useme compesation constant baki tu na li figo lako mwaisa, swali ushawahi kuwa mnywaji konki wa visungura? Nyagi? Gongo namba 1? Kama min -me ? Hao hatutaki figo zimeoza isije kua umeona unaelekea ukingoni unafunga mahesabu kabisa.Natamani Niwajibu wote ila ngum.
But my concern is: ni kwakiasi gani hii kotu ni salama kwangu, na percentage of survival zipo vipi kwangu kama mchangiaji ?
Issue ya pesa sio kipaumbele sabab hii sio biashara, lakini compasation ya nilichopoteza ni costant as ntapoteza uwezo wa ku operate, hivyo lazima nipewe fidia ya kunirahisishia mwendo.
mbona zipo buchani kwa wingi.Wadau kwa ujumla wenu nyote habari zenu ??
nilitamani kujua utaratibu wa kuchangia figo upoje...
(naomba mnijuze)
Una madhara kwa mchangiaji ?
Nahitaji kujua as nikijua au nikipata Elimu juu ya jambo hili naweza shawishika kuchangia.
Kuna watu humu nyie😀😁😁.😂 Mara useme pesa sio kipaumbele mara useme compesation constant baki tu na li figo lako mwaisa, swali ushawahi kuwa mnywaji konki wa visungura? Nyagi? Gongo namba 1? Kama min -me ? Hao hatutaki figo zimeoza isije kua umeona unaelekea ukingoni unafunga mahesabu kabisa.
Za binadamu bana Chizcom we nae punguza minelimbona zipo buchani kwa wingi.
Milioni 50 umejiwekea na ya udalali wakati wewe ndio unauza... Mimi ninazo mbili nzima kabisa sema nauza moja kwanza kwa bei ya milioni 20 opareshen juu yanguKama kuna dili nipo tayari kutoa figo yangu kwa 50M na hata akitaka moyo nampa kikubwa maelewano
Mkuu. Imeandikwa mmepata bure toeni bure. Mathayo 10:8.Kama kuna dili nipo tayari kutoa figo yangu kwa 50M na hata akitaka moyo nampa kikubwa maelewano
Usipoteze vitu ambavyo havinunuliki .