Kuchangisha mchango wala sio jambo baya, ni mioyo miovu ya watu

Kuchangisha mchango wala sio jambo baya, ni mioyo miovu ya watu

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Kuna watu wameumbwa tofauti na wana mioyo ya huruma. Huyu dada anaitwa Niffer naona amefanya jambo la kiungwana tu na amesukumwa na nia nzuri.

Sema tu shida labda hakuweza kuijua sheria ya mambo ya kukuzanya michango.

Lakino nashangaa watu wamemjia juu na vifungu vya kisheria, mara sijui penal code imefanyaje, sijui sheria kifungu gani imecheua kushoto.... yaani ilimradi makasiriko.

Watanzania tunajidai mabingwa wa kujua sheria na nchi yenu inaibiwa kila uchwao mabilioni ya shilingi, dada wa watu kajitokeza kwa nia njema mnaanza kuleta ujuzi wenu. Hii inaonesha ni jisi gani watamzania wamejaa mioyo yenye uovu. PATHETIC
 
Kuna watu wameumbwa tofauti na wana mioyo ya huruma. Huyu dada anaitwa Niffer naona amefanya jambo la kiungwana tu na amesukumwa na nia nzuri...
Jambo muhimu zaidi ni kwamba,

wema wako usizidi uwezo, na wala nia na dhamira yako njema isivuke mipaka ya kistaarabu katika jamii au mamlaka husika.

zingatia na kufuata taratibu, ili upate uhalali, na zikuondolee mashaka na kutokuaminika katika jamii :pulpTRAVOLTA:
 
Jambo muhimu zaidi ni kwamba,

wema wako usizidi uwezo, na wala nia na dhamira yako njema isivuke mipaka ya kistaarabu katika jamii au mamlaka husika.

zingatia na kufuata taratibu, ili upate uhalali, na zikuondolee mashaka na kutokuaminika katika jamii :pulpTRAVOLTA:
Ametumia umaarufu wake kuchangisha ili kuwapa support wahanga
Japo kimsingi kuvunja sheria
Natumai serikali itapima Nia yake na itamsamehe tu ni Mtanganyika mwenzetu
 
Ametumia umaarufu wake kuchangisha ili kuwapa support wahanga
Japo kimsingi kuvunja sheria
Natumai serikali itapima Nia yake na itamsamehe tu ni Mtanganyika mwenzetu
inafct,
haya yanatokea kama somo na darasa kwa jamii na wananchi kwa ujumla kwajili ya siku nyingine.

iko kamati maalumu ya maafa kitaifa, chini ya waziri mkuu na makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar.
hapo ndiko michango, misaada, majitoleo, hisani na mambo yote kuhusu kuwakirimu na kuwategemeza wahanga wa majanga mbalimbali ya kitaifa huratibiwa. kinyume na hapo ni hujuma au utapeli.

bilashaka nia yake ni nzuri na hakuchangisha kwa kificho au gizani.
hii tutasote as soon as possible :pulpTRAVOLTA:
 
inafct,
haya yanatokea kama somo na darasa kwa jamii na wananchi kwa ujumla kwajili ya siku nyingine.

iko kamati maalumu ya maafa kitaifa, chini ya waziri mkuu na makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar.
hapo ndiko michango, misaada, majitoleo, hisani na mambo yote kuhusu kuwakirimu na kuwategemeza wahanga wa majanga mbalimbali ya kitaifa huratibiwa. kinyume na hapo ni hujuma au utapeli.

bilashaka nia yake ni nzuri na hakuchangisha kwa kificho au gizani.
hii tutasote as soon as possible :pulpTRAVOLTA:
Yote ni sawa
Hapa katenda kosa
Naamini serikali ina jicho angavu
Itachunguza Nia yake
Na kuona je kama itafaa kuwajibishwa kwenye mkono wa sheria

Wananchi tunaingia chaka Kwa kutojua sheria na taratibu za nchi yetu
 
Jambo muhimu zaidi ni kwamba,

wema wako usizidi uwezo, na wala nia na dhamira yako njema isivuke mipaka ya kistaarabu katika jamii au mamlaka husika.

zingatia na kufuata taratibu, ili upate uhalali, na zikuondolee mashaka na kutokuaminika katika jamii :pulpTRAVOLTA:
Hizi lawama wanazoipa serikali sioni kama zinastahili kwenye hili..

Niffer kakosea hilo liko wazi kabisa, huwezi kuanza kuchangisha pesa toka kwa Watz kwenye janga kama lile ilhali wewe huna cheo chochote kiserikali, wala chama cha wafanyabiashara au hata wamiliki wa majengo na vyeo vya namna hiyo.

Wewe unachangisha kama nani?? Hayo mamlaka ya kuchangisha umepewa na nani??

Serikali imevalia njuga hiyo ishu from the start, ingefaa awasiliane na viongozi wake wa chama chao cha biashara..

Sijui nia yake hasa ila lile ni kosa labda angekua verified na mamlaka yoyote, na kibongo bongo pale ni kua anakwapua credit za PM, yale maokoto inabidi yaingie kwenye vitengo vilivyo chini ya PM.

Bila shaka ikibainika nia yake ni njema basi atarudisha kibunda serikalin na yeye kupewa onyo, japo kutojua sheria hakukupi haki ya kuvunja sheria, ni UTU tu.
 
Hizi lawama wanazoipa serikali sioni kama zinastahili kwenye hili..

Niffer kakosea hilo liko wazi kabisa, huwezi kuanza kuchangisha pesa toka kwa Watz kwenye janga kama lile ilhali wewe huna cheo chochote kiserikali, wala chama cha wafanyabiashara au hata wamiliki wa majengo na vyeo vya namna hiyo.

Wewe unachangisha kama nani?? Hayo mamlaka ya kuchangisha umepewa na nani??

Serikali imevalia njuga hiyo ishu from the start, ingefaa awasiliane na viongozi wake wa chama chao cha biashara..

Sijui nia yake hasa ila lile ni kosa labda angekua verified na mamlaka yoyote, na kibongo bongo pale ni kua anakwapua credit za PM, yale maokoto inabidi yaingie kwenye vitengo vilivyo chini ya PM.

Bila shaka ikibainika nia yake ni njema basi atarudisha kibunda serikalin na yeye kupewa onyo, japo kutojua sheria hakukupi haki ya kuvunja sheria, ni UTU tu.
Yule mzalendo w kitanzania mbona kimya atuoni akileta uzi imekuwaje kaka uwamini machoyako jikaze baba uje tunakutegemea mjomba heee nguvu una kabisa 🤪🤪

Wewe ni mkristo, sawa unaweza kuwa mdhambi, huendi kanisani lakini kama ukibaki kuamini wewe ni mkristo lazima nafsini utakuwa unajilaumu.

Ndo maisha ya wakristo wote.

Hofu zetu za ndani kabisa zinajidhihirisha kwenye fahamu ndogo(subconscious mind) zetu kama ndoto.
Unachokifikiri sana ndo unachokiota.

Nimalize kwa kusema kwamba Mungu hayupo.

Serikali yetu sikivu itamsamehe
Mambo mengine hadi mjuzi wa sheria
Tumpe pole
PM Majaliwa atamsamehe tu

Jambo muhimu zaidi ni kwamba,

wema wako usizidi uwezo, na wala nia na dhamira yako njema isivuke mipaka ya kistaarabu katika jamii au mamlaka husika.

zingatia na kufuata taratibu, ili upate uhalali, na zikuondolee mashaka na kutokuaminika katika jamii :pulpTRAVOLTA:

Ametumia umaarufu wake kuchangisha ili kuwapa support wahanga
Japo kimsingi kuvunja sheria
Natumai serikali itapima Nia yake na itamsamehe tu ni Mtanganyika mwenzetu

inafct,
haya yanatokea kama somo na darasa kwa jamii na wananchi kwa ujumla kwajili ya siku nyingine.

iko kamati maalumu ya maafa kitaifa, chini ya waziri mkuu na makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar.
hapo ndiko michango, misaada, majitoleo, hisani na mambo yote kuhusu kuwakirimu na kuwategemeza wahanga wa majanga mbalimbali ya kitaifa huratibiwa. kinyume na hapo ni hujuma au utapeli.

bilashaka nia yake ni nzuri na hakuchangisha kwa kificho au gizani.
hii tutasote as soon as possible :pulpTRAVOLTA:

Hizi lawama wanazoipa serikali sioni kama zinastahili kwenye hili..

Niffer kakosea hilo liko wazi kabisa, huwezi kuanza kuchangisha pesa toka kwa Watz kwenye janga kama lile ilhali wewe huna cheo chochote kiserikali, wala chama cha wafanyabiashara au hata wamiliki wa majengo na vyeo vya namna hiyo.

Wewe unachangisha kama nani?? Hayo mamlaka ya kuchangisha umepewa na nani??

Serikali imevalia njuga hiyo ishu from the start, ingefaa awasiliane na viongozi wake wa chama chao cha biashara..

Sijui nia yake hasa ila lile ni kosa labda angekua verified na mamlaka yoyote, na kibongo bongo pale ni kua anakwapua credit za PM, yale maokoto inabidi yaingie kwenye vitengo vilivyo chini ya PM.

Bila shaka ikibainika nia yake ni njema basi atarudisha kibunda serikalin na yeye kupewa onyo, japo kutojua sheria hakukupi haki ya kuvunja sheria, ni UTU tu.
TATIZO LETU WATANZANIA NI KWAMBA TUMEJIFUNGA KWENYE SHERIA BADO PASIPO KUTAMBUA HIZO SHERIA NYINGI NI MBOVU NA ZINANYIMA WATU UHURU.

JIULIZE NCHI NYINGINE WANAFANYAJE?

LABDA TUSEME SHIDA NI YEYE KUTUMIA AKAUNTI BINAFSI, KWAMBA LABDA ALITAKIWA KUTUMIA KITU KAMA AKAUNTI MAALUMU AMBAYO HAIMILIKI YEYE
 
Once again nature abhors a vacuum.

While The Prime Minister's Office and Tanzania Red Cross Society sleeps in the middle of the Kariakoo debacle, a social media personality who goes by the name Niffer raises millions for Kariakoo victims. Only to be rebuked by the Prime Minister for raising funds without essentially what amounts to an official permission.

While the concern to control fundraising, depending on various factors, may be valid and legitimate, one wonders why is The Prime Minister's Office (the office charged with disaster management) or The Tanzania Red Cross Society not in front of this?

Better yet, why don't these established offices join forces with these popular personalities and use their existing social media following, essentially making them the public faces of the fundraising outreach?
 
Hizi lawama wanazoipa serikali sioni kama zinastahili kwenye hili..

Niffer kakosea hilo liko wazi kabisa, huwezi kuanza kuchangisha pesa toka kwa Watz kwenye janga kama lile ilhali wewe huna cheo chochote kiserikali, wala chama cha wafanyabiashara au hata wamiliki wa majengo na vyeo vya namna hiyo.

Wewe unachangisha kama nani?? Hayo mamlaka ya kuchangisha umepewa na nani??

Serikali imevalia njuga hiyo ishu from the start, ingefaa awasiliane na viongozi wake wa chama chao cha biashara..

Sijui nia yake hasa ila lile ni kosa labda angekua verified na mamlaka yoyote, na kibongo bongo pale ni kua anakwapua credit za PM, yale maokoto inabidi yaingie kwenye vitengo vilivyo chini ya PM.

Bila shaka ikibainika nia yake ni njema basi atarudisha kibunda serikalin na yeye kupewa onyo, japo kutojua sheria hakukupi haki ya kuvunja sheria, ni UTU tu.
Umeandika point mkuu
Umefumbua mengi
 
Umeandika point mkuu
Umefumbua mengi
Ndo ivo mkuu, sisi wabongo tunatabia ya kuoneana huruma sana na sio kufata sheria lakini sisi sisi tunataka viongozi wafate sheria.

Hizi huruma huruma ndio sababu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba.
Na tayari wajanja wamejua huu udhaifu na wanautumia vizuri.
 
TATIZO LETU WATANZANIA NI KWAMBA TUMEJIFUNGA KWENYE SHERIA BADO PASIPO KUTAMBUA HIZO SHERIA NYINGI NI MBOVU NA ZINANYIMA WATU UHURU.

JIULIZE NCHI NYINGINE WANAFANYAJE?

LABDA TUSEME SHIDA NI YEYE KUTUMIA AKAUNTI BINAFSI, KWAMBA LABDA ALITAKIWA KUTUMIA KITU KAMA AKAUNTI MAALUMU AMBAYO HAIMILIKI YEYE
Mbona ukitumia akili kiduchu tu unaelewa kua huyo manzi kakosea man.

Hizo nchi nyingine ni mtu yeyote anachangisha??

Huyo Niffer ni nani serikalini, ni nani kwa wafanyabiashara?
Kila pahala kuna kiongozi joh, kila pahala pana taratibu zake.

Yaani kwa akili zako na za Niffer ni kua serikali nzima haina hicho kitengo mpaka wewe ujiongeze?? Raisi, PM , mkuu wa mkoa, mawaziri wote wako hapo halafu wewe usie na cheo chochote, bila idhini ya taasisi yoyote ukusanye michango kuingia kwenye account yako binafsi!!! Binafsi kabisaaa

Sema demu anajiamini, nimemkubali kwenye hilo.
 
Mbona ukitumia akili kiduchu tu unaelewa kua huyo manzi kakosea man.

Hizo nchi nyingine ni mtu yeyote anachangisha??

Huyo Niffer ni nani serikalini, ni nani kwa wafanyabiashara?
Kila pahala kuna kiongozi joh, kila pahala pana taratibu zake.

Yaani kwa akili zako na za Niffer ni kua serikali nzima haina hicho kitengo mpaka wewe ujiongeze?? Raisi, PM , mkuu wa mkoa, mawaziri wote wako hapo halafu wewe usie na cheo chochote, bila idhini ya taasisi yoyote ukusanye michango kuingia kwenye account yako binafsi!!! Binafsi kabisaaa

Sema demu anajiamini, nimemkubali kwenye hilo.
Tanzania sehemu nyingi hakuna mifumo, hivyo, mara nyingine, hata mtu akikosea kwa kutofuata mifumo na sheria anakuwa hajakosea. Mifumo haifanyi kazi.

Serikali na Tanzania Red Cross Society wamezembea kuchangisha watu. Wamelala.

Watu wakijiongeza wenyewe kuchangishana kwa sababu serikali imelala utasema wamekosea?

Waokoaji wa serikali hawafanyi kitu.

Watu wakijipanga wenyewe kienyeji kuokoana utasema wamekosea?
 
Back
Top Bottom