Kuchangisha mchango wala sio jambo baya, ni mioyo miovu ya watu

Kuchangisha mchango wala sio jambo baya, ni mioyo miovu ya watu

Once again nature abhors a vacuum.

While The Prime Minister's Office and Tanzania Red Cross Society sleeps in the middle of the Kariakoo debacle, a social media personality who goes by the name Niffer raises millions for Kariakoo victims. Only to be rebuked by the Prime Minister for raising funds without essentially what amounts to an official permission.

While the concern to control fundraising, depending on various factors, may be valid and legitimate, one wonders why is The Prime Minister's Office (the office charged with disaster management) or The Tanzania Red Cross Society not in front of this?

Better yet, why don't these established offices join forces with these popular personalities and use their existing social media following, essentially making them the public faces of the fundraising outreach?
Umeliweka vema mkuu, hakuna ombwe linalobaki wazi. Ombwe lazima mwisho wa siku lazima lizibike, either kwa kufuata sheria au kukiuka sheria
 
Umeliweka vema mkuu, hakuna ombwe linalobaki wazi. Ombwe lazima mwisho wa siku lazima lizibike, either kwa kufuata sheria au kukiuka sheria
Naam.

Hii habari imeonesha mapungufu katika vyombo rasmi. Kuna fursa ya kuunganisha juhudi za vyombo rasmi na watu wa social media ili kupata ufanisi zaidi.

Serikali kushikilia kuadhibu watu tu hakutasaidia kupata ufanisi huu.

Shukurani.
 
TATIZO LETU WATANZANIA NI KWAMBA TUMEJIFUNGA KWENYE SHERIA BADO PASIPO KUTAMBUA HIZO SHERIA NYINGI NI MBOVU NA ZINANYIMA WATU UHURU.

JIULIZE NCHI NYINGINE WANAFANYAJE?

LABDA TUSEME SHIDA NI YEYE KUTUMIA AKAUNTI BINAFSI, KWAMBA LABDA ALITAKIWA KUTUMIA KITU KAMA AKAUNTI MAALUMU AMBAYO HAIMILIKI YEYE
eeh gentleman,
embu elezea wadau kwa kina kifupi kidogo, hizo nchi nyingine wanafanyaje?

sheria ipi inanyima watu uhuru kwa mfano kwenye majanga?

ni muhimu sana kufahamu kwamba,
michango yote, misaada yote, hisani zote n.k inaratibiwa na kamatia ya maafa ya kitaifa.

kila mTanzania mwenye mapenzi mema, kwa kibali maalumu na utaratibu wa kamati ya maafa uliowekwa, yuko huru kuchangia na ana haki ya kuchangisha chochote kitu kutoka popote duniani kwa kibali maalumu cha kamati ya maafa.

kinyume na hapo ni hujuma na utapeli.
epuka kutapeliwa zingatia taratibu za kuchangia :pulpTRAVOLTA:
 
Yote ni sawa
Hapa katenda kosa
Naamini serikali ina jicho angavu
Itachunguza Nia yake
Na kuona je kama itafaa kuwajibishwa kwenye mkono wa sheria

Wananchi tunaingia chaka Kwa kutojua sheria na taratibu za nchi yetu
ni katika kukosea tunajifunza taratibu, kanuni, sheria na hata katiba ya nchi polepole...

ni imani yangu, hili nalo litaisha kuungwana, wakati jitihada za kwaokoa walionasa kwenye kufusi zikiendelea :pulpTRAVOLTA:
 
Hizi lawama wanazoipa serikali sioni kama zinastahili kwenye hili..

Niffer kakosea hilo liko wazi kabisa, huwezi kuanza kuchangisha pesa toka kwa Watz kwenye janga kama lile ilhali wewe huna cheo chochote kiserikali, wala chama cha wafanyabiashara au hata wamiliki wa majengo na vyeo vya namna hiyo.

Wewe unachangisha kama nani?? Hayo mamlaka ya kuchangisha umepewa na nani??

Serikali imevalia njuga hiyo ishu from the start, ingefaa awasiliane na viongozi wake wa chama chao cha biashara..

Sijui nia yake hasa ila lile ni kosa labda angekua verified na mamlaka yoyote, na kibongo bongo pale ni kua anakwapua credit za PM, yale maokoto inabidi yaingie kwenye vitengo vilivyo chini ya PM.

Bila shaka ikibainika nia yake ni njema basi atarudisha kibunda serikalin na yeye kupewa onyo, japo kutojua sheria hakukupi haki ya kuvunja sheria, ni UTU tu.
Taratibu,
tunajifunza kutokana na makosa, na tunasonga mbele kwa pamoja kama taifa :pulpTRAVOLTA:
 
Tanzania sehemu nyingi hakuna mifumo, hivyo, mara nyingine, hata mtu akikosea kwa kutofuata mifumo na sheria anakuwa hajakosea. Mifumo haifanyi kazi.

Serikali na Tanzania Red Cross Society wamezembea kuchangisha watu. Wamelala.

Watu wakijiongeza wenyewe kuchangishana kwa sababu serikali imelala utasema wamekosea?

Waokoaji wa serikali hawafanyi kitu.

Watu wakijipanga wenyewe kienyeji kuokoana utasema wamekosea?
Kukosea na kutokosea kunategemea umegusa mkate wa nani, ndio bongo ilivyo ndgu.
 
eeh gentleman,
embu elezea wadau kwa kina kifupi kidogo, hizo nchi nyingine wanafanyaje?

sheria ipi inanyima watu uhuru kwa mfano kwenye majanga?

ni muhimu sana kufahamu kwamba,
michango yote, misaada yote, hisani zote n.k inaratibiwa na kamatia ya maafa ya kitaifa.

kila mTanzania mwenye mapenzi mema, kwa kibali maalumu na utaratibu wa kamati ya maafa uliowekwa, yuko huru kuchangia na ana haki ya kuchangisha chochote kitu kutoka popote duniani kwa kibali maalumu cha kamati ya maafa.

kinyume na hapo ni hujuma na utapeli.
epuka kutapeliwa zingatia taratibu za kuchangia :pulpTRAVOLTA:
Tusijufunge kwenye uzio wa kamati na sheria mkuu wangu, Tanzania ina historia ya kuwa na kamati nyingi sana ambazo hazina msaada kwa taifa. Na pia kujifungia kwenye uzio wa sheri pia sio solution yenye manufaa.

Mimi ambacho nitategemea serikali kufanya ni wao kupokea kijiti cha hili zoezi kutoka kwa huyo mwanadada au wasaidiane naye lakini sio uanza kufukua vifungu vya sheria na penal code. Tuje na solution sio kujifanya manunda wa sheria, sheria tunazo nyingi sana mbona nchi bado masikini na maskendo ya rushwa kibao
 
Tusijufunge kwenye uzio wa kamati na sheria mkuu wangu, Tanzania ina historia ya kuwa na kamati nyingi sana ambazo hazina msaada kwa taifa. Na pia kujifungia kwenye uzio wa sheri pia sio solution yenye manufaa.

Mimi ambacho nitategemea serikali kufanya ni wao kupokea kijiti cha hili zoezi kutoka kwa huyo mwanadada au wasaidiane naye lakini sio uanza kufukua vifungu vya sheria na penal code. Tuje na solution sio kujifanya manunda wa sheria, sheria tunazo nyingi sana mbona nchi bado masikini na maskendo ya rushwa kibao
sasa utajifungua lini gentleman, maana kwenye sheria unasema tusijifunge, kwenye kamati nako tusijifunge?

wapokee kijiti kivip wakati utaratibu uko hivyo miaka nenda miaka rudi na hapajawahi kua na hujuma na utapeli kama huu?


kwanza utaratibu na sheria inayosimamia mambo haya unaijua ama umeamua kupasuka tu gentleman?

nini kisichoeleweka na nini dosari au kasoro kwenye utaratibu huo wa wazi na rahisi sana?🐒
 
sasa utajifungua lini gentleman, maana kwenye sheria unasema tusijifunge, kwenye kamati nako tusijifunge?

wapokee kijiti kivip wakati utaratibu uko hivyo miaka nenda miaka rudi na hapajawahi kua na hujuma na utapeli kama huu?


kwanza utaratibu na sheria inayosimamia mambo haya unaijua ama umeamua kupasuka tu gentleman?

nini kisichoeleweka na nini dosari au kasoro kwenye utaratibu huo wa wazi na rahisi sana?🐒
Embu weka hiyo sheria ya mambo haya maana naona hapa tunarushiana mawe gizani. Nipe vifungu vya sheria. Maana naona kila mtu anakimbilia kwenye kichaka cha sheria lakini hamna aliyeleta hivo vifungu..

Na vipi kuhusu watu kama kina Malisa wanaochangisha pesa mitandaoni? Inatofauti gani na hii, na je sheria inasemaje? Hili jambo sio rahisi kiasi hicho
 
sasa kumbe ni hujui huo utaratibu na sasa utaelewaje gentleman?🤣


kwahiyo ulivyo kua unasema tusijifunge kwenye sheria au kamati ulikua unaelewa unachokisema?

uko wapi kwanza maana dah 🤣
Embu weka hiyo sheria ya mambo haya maana naona hapa tunarushiana mawe gizani. Nipe vifungu vya sheria. Maana naona kila mtu anakimbilia kwenye kichaka cha sheria lakini hamna aliyeleta hivo vifungu..

Na vipi kuhusu watu kama kina Malisa wanaochangisha pesa mitandaoni? Inatofauti gani na hii, na je sheria inasemaje? Hili jambo sio rahisi kiasi hicho
 
Ametumia umaarufu wake kuchangisha ili kuwapa support wahanga
Japo kimsingi kuvunja sheria
Natumai serikali itapima Nia yake na itamsamehe tu ni Mtanganyika mwenzetu
Basi kama amevunja sheria lazima aadabishwe. Hatuangalii nia ya mtu
 
Back
Top Bottom