Kuchapiwa inaumiza sana

Kuchapiwa inaumiza sana

Kuna jamaa ana duka kariakoo mke wake ndio msimamizi na muuzaji dukani. Alipewa habari kwamba kuna kijana hua anakuja akija wife na dogo wanafunga duka kama saa nzima wakiwa huko ndani. Jamaa akaweka camera ya siri. Daaah alichoona kidogo ajiueView attachment 1009011
Hii picha ilikua maarufu ya kenya kama imenti house imejaa google[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hatari kuliko
 
Duuuuuuh!!
Yani unashuhudia live my wife wako akigawa "mbuzi kagoma kwenda" aka kichuma mchicha....!
Ni balaa yani unaweza kuua mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom