Kuchapiwa ni jambo la kiuokoo/kifamilia (kiroho zaidi). Fanya yafuatayo kuepuka kizazi chako kuchapiwa

Kuchapiwa ni jambo la kiuokoo/kifamilia (kiroho zaidi). Fanya yafuatayo kuepuka kizazi chako kuchapiwa

Kama ni hivi basi Mimi nishafeli na laana hii nimeikaribisha Mwenyewe maana miaka ya ujana mwanamke aliniambia yupo pekee yake Hana Mt basi huyo moja kwa moja nilikuwa namuona muongo- nilikuwa natembea na wanawake wanaoniambia nina Boyfriend/Boyfriends/husband/mzazi mwenza. Hapo ndiyo nasisimka na kupiga mashine kwa raha 😭😭😭

Kwa Uzi huu nimejilaani kitambo sana , na roho ya kucheat/usaliti nilijipandikizia mwenyewe-kama uandikayo ni kweli
 
Mkuu ni hivi, ukioa kimeo hayo ndiyo uliyopaswa kuyatarajia.

Jasiri aachi asili, wewe unachukua demu kahaba unategemea nini?

Hakuna asili kwenye matatizo ya kitabia, tabia ni ya mtu na si ya jamii
 
Mi naamini mwanamke anaekucheat anaweza kukuua kabisa.

Ila hapo kwa wapare hebu usituhusishe na hilo ama lah tupe mifano ndgu yangu la sivyo nikienda upareni utaitwa.
 
Kwa maelezo yako ndugu mwandishi nadhani bado hujaowa na kama bado basi ukishaowa naomba utarudi hapa jukwaan tuone kama uzi wako utakua na msimamo huu
 
Ukigundua mwanamke anatoka nje kimapenzi BASI unatakiwa kumuacha hapo hapo na usirudi nyuma tena. Tafuta mwanamke mwingine if she do the same achana nae tafuta mwingine tena.
Point iko hapa
 
Kwa maelezo yako ndugu mwandishi nadhani bado hujaowa na kama bado basi ukishaowa naomba utarudi hapa jukwaan tuone kama uzi wako utakua na msimamo huu

Kwanini ?
 
Mi naamini mwanamke anaekucheat anaweza kukuua kabisa.

Ila hapo kwa wapare hebu usituhusishe na hilo ama lah tupe mifano ndgu yangu la sivyo nikienda upareni utaitwa.
Kweli kabisa ndo maana ukigundua ana cheat unatakiwa KUPIGA Chini hapo hapo
 
Wewe ni kichaa kabisa. YAANI mimi kukwambia mwanaume Usikae na mwanamke anae cheat na kwamba ukigundua mwanamke/mke wako ana cheat unatakiwa kuachana nae hapo hapo ni kitu kibovu hicho? Basi utakuwa na kichwa kidogo sana mkuu ndio maana point yako haina hata hoja.
Sijatoa point yoyote, ila nimesikitika sana ww sio wakua na ujinga huo kichwani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimeandika uzi huu baada ya suala la Haji kutamalaki.

Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila.

Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya kuchapiwa (kufumania/ kutoa talaka baada ya kufumania) n.k

Wakati mwingine historia huweza kujirudia kwa mchapiwaji. Watu wengi wanao lalamika.kuchapiwa wengi wao Wana historia ya kuchapiwa miaka ya nyuma.

Ama kwa upande wa Makabila yanayo chapiwa wake zao binafsi nimegundua wapare walio wengi huchapiwa zaidi. Why do I say that? Experience ya watu ambao nimeshuhudia wakiachana na wake zao baada ya fumanizi au wakigongewa mademu zao wengi wao ni wapare aisee . ( Wapare naomba mkalitazame na hili )

YANI imefikia hatua nikisikia mtu ana complain kuchapiwa huwaga na assume.ni mpare..

UFANYE NINI KUEPUKA KIZAZI CHAKO KUCHAPIWA?

1. Usile mke wa mtu.

2. (Usikae na demu anae cheat/ usi tolerate mwanamke anae cheat) Kutolerate demu anae cheat ni chanzo kikuu cha kukaribisha laana/roho ya kuchapiwa kwako na kwa kizazi chako. Unapokuwa una vumilia mwanamke kucheat unakuwa unapeleka taarifa kwenye jamii kwamba ur okay with an unfaithful woman. So the society will continue to give to you and to your offspring the same kind of women over and over again.

Ukigundua mwanamke anatoka nje kimapenzi BASI unatakiwa kumuacha hapo hapo na usirudi nyuma tena. Tafuta mwanamke mwingine if she do the same achana nae tafuta mwingine tena. Utapeleka taarifa kwenye jamii kwamba hutaki mwanamke asie mwaminifu katika mahusiano and at the end of the day the society will give you what you want (deserve)

Kuna koo au familia nyingine huwaga hakunaga kabisa ujinga ujinga wa mke sijui kucheat au mtu kubambikiwa mimba. Hakunaga kabisa upuuzi kama.huo..lakini koo zingine upuuzi kama huo ni jambo la kawaida.

Nimalize KWA kusema: POLE SANA MZEE HAJI
Hahaha
 
Back
Top Bottom