Wanaumia 😀😀😀😀mtu akikumbuka mkewe ikichomoka manzi anairudishia mwenyewe weeeeMkichapiwa mna fujo sana mbuzi nyie, ili hali nyie huko nje mnachapa kwa ulafi mkubwa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkichapiwa mna fujo sana mbuzi nyie, ili hali nyie huko nje mnachapa kwa ulafi mkubwa
Unaongea kirahisi sana. Sio rahisi kwa mwanaume kukubaliana na ilo. Binafsi hata kama nachepuka nikigundua na mwenzangu anafanya ivyo tunaachana hapo hapoMimi naona kama wewe unatafuta nje huko ikitokea mwenzako akatafunwa kuwa mpole tu wat goes around come around
Lakin kama hujawahi kutafuna ikitokea katafunwa piga chini maisha yaendelee
Mama mbona jaziba sana!!!Mkichapiwa mna fujo sana mbuzi nyie, ili hali nyie huko nje mnachapa kwa ulafi mkubwa
Na wewe unagawa siku hizi mziguaNdo na sisi tunajisikiaga hivyo ila tunajikaza. Jitahidini mvumilie maana mnachapiwa sio mchezo
Jeni Jeni hiiiiiiiMimi naona kama wewe unatafuta nje huko ikitokea mwenzako akatafunwa kuwa mpole tu wat goes around come around
Lakin kama hujawahi kutafuna ikitokea katafunwa piga chini maisha yaendelee
Mkichapiwa mna fujo sana mbuzi nyie, ili hali nyie huko nje mnachapa kwa ulafi mkubwa
AbeeeeeeJeni Jeni hiiiiiii
Huu nao ni ukatili wa kijinsiaUnaongea kirahisi sana. Sio rahisi kwa mwanaume kukubaliana na ilo. Binafsi hata kama nachepuka nikigundua na mwenzangu anafanya ivyo tunaachana hapo hapo
Binafsi sihusiki hata kidogo kwenye jambo hili kwasabb show yangu ni yakibabe tu haina mawaa...Tujielekeze kumsaidia mtoa mada kwanza Mkuu.
Kwahiyo unalalaga na mbuzi ?Mkichapiwa mna fujo sana mbuzi nyie, ili hali nyie huko nje mnachapa kwa ulafi mkubwa
*****Mtaumia bure mfe muache wazazi wenu na watoto wenu wakilia daima...
Kubalini tu ndoa ni sehemu MTU anapositirika then nje anaendelea na manjegeka yake.watu wanachepuka balaa tena bila kificho