Kuchat chooni kuna raha yake ya kipekee sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Salam ndg zangu!

Ni raha kuingia na simu chooni halafu ukaanza kuchart tena zaidi kama unachart na kamchepuko kaka fulani!

WhatsApp ndo raha sana!

Raha sana kuingia na simu chooni na kuchart kwa kificho.

Huwa tamu sana.

Ulishawahi kuchart chooni ndg yangu.
 
hongera
 
Endelea kuchart unadhani ukimwi unajali kama mnachat facebook au whatapp su twiter ? Endelea na ujinga wako wa mavi
 
Siku simu ikitumbukia chooni pia uje utuanzishie uzi wa kukilaani choo
 
Hicho kisimu chako utakuja kukipakaza mavi bure kwa sababu za kijinga..
 
kumbuka ukiingia chooni akili nying unaziacha mlangoni unaingia na zakukusaidia usijinyee na za kulengea shimo, kama hayo yote umefanikiwa naamin hujachamb mkuu plz vua chup nzi watakusumbua
 
Unaona sasa! Kiwanda kingine kimefunguliwa chooni.
Magu njoo na mkasi wa kukatia utepe tafadhali
 
kumbuka ukiingia chooni akili nying unaziacha mlangoni unaingia na zakukusaidia usijinyee na za kulengea shimo, kama hayo yote umefanikiwa naamin hujachamb mkuu
daah! wewe jamaa, umenichekesha sana sana ujue, kama ungekuwa karibu ningekupa mwekundu
 
Nyie ndo mnaletaga karaha kwa wengine pindi wanapoban'wa na wanataka kutumia choo.
 
Kwa hiyo ndiyo kusema unapenda ku chat na wanaume wenzako huku kijambio/unyeo wako ukiwa wazi? Are you deliciius?
 
Unaacha kufanya kilichokupeleka chooni unaanza chati, nyie ndio tunaopishana nanyi mnanuka Kama gari ya takataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…