Nafikiri utakuwa haujui kuhusu ugonjwa wa BAWASIRI (kutokwa na vinyama sehemu za siri) Ngoja nikusaidie kukuelimisha madhara yake. Sio salama kiafya kukaa chooni muda mrefu (haswa wakati wa aja kubwa) maana kipindi chote unapokuwa unachat basi na mishipa ya damu ya sehemu za ajakubwa huwa inatanuka ili kuruhusu uchafu kutoka, hvyo kitendo cha kufanya misuli itanuke muda mrefu husababisha misuli hiyo kuvimba, kupasuka au kutoka nje ( hapa ndo unasikia kile kinachoitwa kutokwa na vinyama sehemu za siri)
Ni muhimu sana kufanya kilechokupeleka chooni tena kwa muda mfupi sana ili kujiepusha na matatio kama hayo.