WanaJF naamini wengi wetu kama si wote tutakuwa tumejiandikisha kupiga kura. Lakini kuna huu utaratibu uliowekwa wa kwenda kucheki kama majina yetu yapo. Tafadhari nendeni mkakague kama majina yenu yapo kwenye orodha iliyobandikwa mapema au kwenye tofuti ya NEC www.nec.go.tz kuna utaratibu pale wa kujua kama uko ukoregistered au hapana. Bonyeza hii link The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage.
Tufuatilie ili tuweze kufanya mabadiliko ya ukweli siyo ya maneno tu.
Tufuatilie ili tuweze kufanya mabadiliko ya ukweli siyo ya maneno tu.