Mbona kuna namba kwenye daftari hazina maelezo na ziko tupu kabisa bila maelezo ya mtu yoyote tazama namba hizi hapa:-
19272311
19272348
Namba za namna hii zipo nyingi sana, hizi namba nimezipata ofisi ya serikali Buguruni chama.
Nahisi kwenye kupiga kura hizi namba zitatumika, na kwenye daftari litakalotumika kwenye vituo tayari wamejaza majina ya watu.
Mawakala wa vyama, tafadhalini kagueni vitabu kwa kulinganisha na namba zilizowekwa ukutani ambazo hazina majina.