mjuni tabibu
New Member
- Oct 26, 2017
- 3
- 3
Refractory period Mzee baba...ipogo. Japo tunatofautiana muda wa kurudi tena kwa gamehivi ukipiga bao la kwanza lazima upumzike? mbona mimi huwa naunga mabao hata matatu bila kupumzika?! au nina tatizo?
Unataka kuwai wapi tabibu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba msaada mimi nina tatizo nikipiga bao la kwanza nachelewa kuamsha tena isia na nikiamsha uwezo unakuwa mdogo sijui nitumie dawa gani