Nawaomba wataalamu wa sheria wanisaidie katika haya:
1. Sijalipwa mshahara na mwajiri wangu tangu Septemba 2013 mpaka sasa.
2. Nilistaafu tarehe 30.06.2014 baada ya kufikisha umri wa miaka 62, lakini mpaka leo bado sijalipwa mafao yangu.
3. Mwajiri hajawasilisha michango ya NSSF kwenye ofisi za NSSF tangu April 2012 mpaka sasa.
Naomba ushauri wa kisheria juu ya hatua za kuchukua ili niweze kupata haki zangu.
1. Sijalipwa mshahara na mwajiri wangu tangu Septemba 2013 mpaka sasa.
2. Nilistaafu tarehe 30.06.2014 baada ya kufikisha umri wa miaka 62, lakini mpaka leo bado sijalipwa mafao yangu.
3. Mwajiri hajawasilisha michango ya NSSF kwenye ofisi za NSSF tangu April 2012 mpaka sasa.
Naomba ushauri wa kisheria juu ya hatua za kuchukua ili niweze kupata haki zangu.