Watajifanya hawajui.Kigoma line,muguse muone sitanii ila wako vizuri.Mulizeni mkuu wa mkoa wa kanda ya ziwa mtoto wa waziri wa zamani.Walimfanyaje Ziwa Tanganyika
Sasa kama hajabisha wewe unabisha nini ?Hicho sio kingereza cha zito. Mnamtafutia sababu tu, nyie mfanyeni mlichopanga kumfanyia tu wala msitafute justification. Uzuri hata yeye hajabisha kuwa aliwachongea huko kwa mnaowaita mabeberu
Ulikosea wapi na kwa vipi?Niliwahi kushauriwa nivute subira ili niweze kumjua Zitto pale nilipomfananisha na Mzee Mzindakaya kwenye kuhoji masuala mahususi ya kitaifa. Nilivuta subira, na kweli nilikuwa nimekosea sana kumfananisha Zitto(Mb) na Mzee Mzindakaya.
Katika hili naungana na wewe.Inasemekana kuna barua zimetumwa kwa maelfu sio Zitto pekee hivyo sio lazima watangaze watu waliotuma barua wote. Zitto sio mwanaharakati pekee
Mkuu ongeza hii hapo mbele ili watu wajue tatizo linalotunyekeleaView attachment 1340039View attachment 1340040View attachment 1340041
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mungu mbariki Zito Kabwe
Leo umekuja kivyako kabisa.Kigoma line,muguse muone sitanii ila wako vizuri.Mulizeni mkuu wa mkoa wa kanda ya ziwa mtoto wa waziri wa zamani.Walimfanyaje Ziwa Tanganyika
Kwa hiyo huu ndo uzalendo unaoujua wewe.Zito ndiyo Mzalendo wa kweli. Namuunga mkono 100% kwa hili alilofanya. Tunahitaji watanzanoa wengi zaidi kama Zito ili tujikomboe
Nashawishika kuliamini hili.Huyo sio Zitto aliyeandika hiyo barua, wewe huoni hicho kiingereza kilivyokuwa hafifu. Hiyo ni forgery letter.