KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Nakushukuru sana kwa kuiandika hii, kwa sababu nilianza kukutilia mashaka na mada yako hii.4. Leo tumeona barua ambayo Zito na watu kadhaa wameandika barua World bank kuhusu tanzania kunyimwa msaada wa billion 500 kusaidia masuala ya elimu..umeona response ya mkuu wa nchi amesema tuwapuuzeni tu hao.
Ingekuwa ndiyo Lisu kaandika pangechimbika...Je Zito ni nani?
Haya tuendelee...