Tougher
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 245
- 65
Wakuu mwenye uelewa anisaidie.
Naomba kujua gharama za kuchimba kisima chenye urefu (kina) cha mita 85 katika wilaya ya Mkuranga maeneo jirani na kimanzichana.
Natanguliza Shukrani
Tougher
N.B Nimekwishafanya Survey na report imetoka kuwa naweza kupata maji kwa kina hicho.
Naomba kujua gharama za kuchimba kisima chenye urefu (kina) cha mita 85 katika wilaya ya Mkuranga maeneo jirani na kimanzichana.
Natanguliza Shukrani
Tougher
N.B Nimekwishafanya Survey na report imetoka kuwa naweza kupata maji kwa kina hicho.