Ni pm contact pleaseNilichimba 3Million cha mita 85 kisenvule karubu na mkuranga nadhani bei itakua sawa.
Nilichimba 3Million cha mita 85 kisenvule karubu na mkuranga nadhani bei itakua sawa.
Nilichimba 3Million cha mita 85 kisenvule karubu na mkuranga nadhani bei itakua sawa.
Mkuu nimekutumia PM, naomba nisaidie contacts zao
pampu ya uhakika 1.5m... Waya wa mita 100 kuifikia pampu mita 85 almost laki 4. Kuchimba almost 60,000/- per meter.. Tenki la lita 5000 almost 1m... Control circuit ya system hiyo il majina yakiisha pampu inawaka yenyewe na maji yakijaa pampu inazima almost laki 2. Boksi la ip55 la kujengea circuit hiyo ni almost laki 1.5... Jumlisha upate ghqrama yote
Mkuu ngojea nitafute namba nitaku tumia.
Coz nilipoteza namba zao.
Wakuu mwenye uelewa anisaidie.
Naomba kujua gharama za kuchimba kisima chenye urefu (kina) cha mita 85 katika wilaya ya Mkuranga maeneo jirani na kimanzichana.
Natanguliza Shukrani
Tougher
N.B Nimekwishafanya Survey na report imetoka kuwa naweza kupata maji kwa kina hicho.
Hata mimi nahitaji kuchimba lkn naomba kujua total cost ya kuchimba kisima cha mita 60 tu nipo kibada kigamboni