Kuchomekea shati kingereza tunasemaje

Kuchomekea shati kingereza tunasemaje

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwa mfano unataka utunge sentensi kwa kingereza inayosema "Thomas amechomokea shati na kufanya aonekane nadhifu"
 
Thomas looking sublime.
Chezea mimi wewe, yaani hapo sijanywa ndio maana nimeshindwa kuandika hiyo sentensi, sasa ikitokea nimekunywa balimi walahi kiingereza kinakuwa kinapanda kwa kasi sana
 
Back
Top Bottom