Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Heavy duty grinder inapasua kilaini kabisa, japo waweza tumia wiki mbili.Haiwezi kukubali militia gesi ikagoma Ni chuma mtupu
Inawezekana Mimi Babu yangu alirithishwa na Babu yake gold uzito wa kg 1.87, alimwita shambani kwake mjukuu akiwa 31 Babu 89 akampa karatasi ndani ya bahasha akamwambia aichonge kiti kama drop ya kioo aifiche na kuitunza na asimwambie yeyote na aifungue miezi SITA baada ya Babu kufa kweli mzee alikufa 6 yrs later na miezi 6 baadae jamaa akafungua Ile bahasha.Hakuna kitu hapo, binadamu tumeumbwa na shauku(curiousity) sana, hakuna mtu anaweza kukaa na barua miaka 7 bila kuifungua eti kisa umeambiwa usifungue mpaka 2024
Yaani hapo hata mwezi tu usingetoboa lazima tu ungekua ushaisoma... Hii ni chai au anatafutwa mtu apigwe na kitu kizito....
Eti nimeficha, yaani mnashirikiana watu 24 kuficha kitu???
Shenzi