sisi ni ndugu
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 121
- 136
Habari za jioni wataalam.
Msaada wa ushauri, kuna budget ya 15M nahitaji toyota ya kuzugia mjini, napendelea sana toyota premio isiyozidi 1500cc , je ni nzuri au unashauri nichukue aina gani? Je utaratibu mzuri ni kuagiza au kwenda yard kujichagulia?
Naomba ushauri wenu wataalam.
Msaada wa ushauri, kuna budget ya 15M nahitaji toyota ya kuzugia mjini, napendelea sana toyota premio isiyozidi 1500cc , je ni nzuri au unashauri nichukue aina gani? Je utaratibu mzuri ni kuagiza au kwenda yard kujichagulia?
Naomba ushauri wenu wataalam.