Kuchunguzana mambo ya 'r' na 'l' hayakusaidii lolote

tuu Ni Nini?
 
Afadhali wewe R na L. Kuna yule mwanamama jaji mkuu Kenya nouma yani Ballot box anaita mbarot mbox unabaki kushangaa tu wtf!
 
Afadhali wewe R na L. Kuna yule mwanamama jaji mkuu Kenya nouma yani Ballot box anaita mbarot mbox unabaki kushangaa tu wtf!
Chamsingi mmeelewa hayo ndo mageuzi na ukuaji wa lugha
 
Hivi ukiandika "a grass of water" unakuwa huelewi ulichoandika au ni unyafuzi wa akili? Hivi unashindwa kweli kutofautisha glass na grass wakati wa kuandika?

Juzi tulikaa na PhD holder mmoja, tena wa mambo haya ya lugha, akiongea unatamani kuondoka..
 
kusahihishwa ni muhimu ili kiswahili kinyooke. wanyarwanda wanafundisha kiswahili vyuo vikuu marekani, cc tunakosa nafasi hizo kwa sababu kama hizi hatupendi kuwa wanyoofu kwenye lugha
 
Kwa kwel muandikaji na mtamkaji ambae anashindwa kutofautisha r na l huwa najisikia vbaya kumsikilza ama kusoma habari yake, unashindwaje kujua kwamba hapa r haitakiwi au l?
 
Ukiwa hutaki kukosolewa Acha kuandika
 
Nani huyo?

Mtaje pulizi

Na kama ni Mkurya au Mhaya/Mkerewe mkanganyiko wa l na r na ishu za aujambo na husinihaibishe ni za kawaida tu
 
...Hutaki Kukosolewa? Basi Usiandike Kitu? Yaani Wewe Uboronge Kiswahili Chetu adhimu halafu Watu Wasikukosoe? Simple kama hutaki Kukosolewa,
Usiandike Kitu! We Soma TU....[emoji846][emoji846]
 
Nani huyo?

Mtaje pulizi

Na kama ni Mkurya au Mhaya/Mkerewe tena mkanganyiko wa l na r na ishu za aujambo na husinihaibishe!
Ni mkinga/mbena sina uhakika sana ila matamshi yake sikuyapenda kwa kweli.

Japo kuna wakati naelewa, hasa kwenye matamshi, ila kwenye kuandika kwa kweli nakuwa mgumu kuelewa.
 
Bora kutokuwa na JF of GT's kuliko kuwa na membazi vihiyo wanaoiabisha nchi kwa kutokujua kusoma na kuandika.
 
Ni bonge bonge hivi? Herufi ya mwisho ya jina lake ni u?
 
Yaani mtoa mada ulivyoanzisha huu uzi ndio umejiaibisha zaidi badala ya kukubali makosa na kujisahihisha kimyakimya.
Vitu vidogo kama hivi hata havihitaji elimu kubwa.
Kama una kichwa kizuri vitu kama hivi unatakiwa uvijue kabla hujafika darasa la 4 la shule ya msingi.
Sasa hadi unakuwa mtu mzima unajiunga na JF halafu bado huvijui ni jambo la aibu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…