Mlamba asali
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 1,152
- 2,270
Na wewe huwezi kutofautisha You're na yourIf you can't differentiate r and l wewe plus you're teacher wa awali ni bonge la mbwege
Huna tofauti na mleta mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe huwezi kutofautisha You're na yourIf you can't differentiate r and l wewe plus you're teacher wa awali ni bonge la mbwege
Ulichoandika hakieleweki. Usilazimishe kuwa tumeelewa kwa kuwa wazo unalo mwenyewe kichwani. Sisi tunaosoma andiko lako ndio tunakuambia hatujaelewa umeandika nini. Kama huwezi kuandika kwa usahihi unaandika ya nini humu kuanika ujinga wako? Kweli mtu mzima hujui tofauti ya GRASS na GLASS? Rudi chekechea bwn. Unatujazia server tu na utumbo wako!Sipendi tabia ya baadhi ya member wa Jf kujikuta baraza la kiswahili. Yaani wewe umeandika anakosoa, hata kama umesoma art basi vunga. Wewe jibu mada pita na zako hakuna atakaye kupongeza kwa kuandika bila kujali.
Mtuache, cheki huyu kosa langu lipo wapi?
View attachment 2453999
Au tuu kaamua aropoke? Fateni yenu, mliojoungia kujadili mambo ya r na l tuachie sisi; hayakuhusu chamsingi kilichoandikwa kimeeleweka!
Hahahahaha......huyo msamehe bure. Ni madhara ya Mother tongue!Afadhali wewe R na L. Kuna yule mwanamama jaji mkuu Kenya nouma yani Ballot box anaita mbarot mbox unabaki kushangaa tu wtf!
Akili huna unajua hata ngarama za kulipia hii server wewe kuhusu kutokujua tofauti niachie mm hujaelewa achana nayo umeelewa jibuUlichoandika hakieleweki. Usilazimishe kuwa tumeelewa kwa kuwa wazo unalo mwenyewe kichwani. Sisi tunaosoma andiko lako ndio tunakuambia hatujaelewa umeandika nini. Kama huwezi kuandika kwa usahihi unaandika ya nini humu kuanika ujinga wako? Kweli mtu mzima hujui tofauti ya GRASS na GLASS? Rudi chekechea bwn. Unatujazia server tu na utumbo wako!
Na kama ni mwalimu, atawapotosha watoto wengi!If you can't differentiate r and l wewe plus you're teacher wa awali ni bonge la mbwege