Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Hivi polisi hawa ambao ama kwa makusudi au hawaelewi kitu, kudai katiba mpya kuna kosa gani kisheria?
Hivi unapomkamata mtu ambaye anadai kitu ambacho kimeruhusiwa kisheria utakua unaelewa nini?
Au ukampiga mtu na kumuua au kumuumiza sababu tu amedai katiba mpya ambayo ni haki, ukifunguliwa kesi mahakamani utaponea wapi?
Unachochea na kiongozi wa kisiasa ambaye yeye maisha yake ya kisasa ni mafupi kuliko nafasi yako wewe kwenye utumishi
Hivi unapomkamata mtu ambaye anadai kitu ambacho kimeruhusiwa kisheria utakua unaelewa nini?
Au ukampiga mtu na kumuua au kumuumiza sababu tu amedai katiba mpya ambayo ni haki, ukifunguliwa kesi mahakamani utaponea wapi?
Unachochea na kiongozi wa kisiasa ambaye yeye maisha yake ya kisasa ni mafupi kuliko nafasi yako wewe kwenye utumishi