Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi polisi hawa ambao ama kwa makusudi au hawaelewi kitu, kudai katiba mpya kuna kosa gani kisheria?
Hivi unapomkamata mtu ambaye anadai kitu ambacho kimeruhusiwa kisheria utakua unaelewa nini?
Au ukampiga mtu na kumuua au kumuumiza sababu tu amedai katiba mpya ambayo ni haki, ukifunguliwa kesi mahakamani utaponea wapi?
Unachochea na kiongozi wa kisiasa ambaye yeye maisha yake ya kisasa ni mafupi kuliko nafasi yako wewe kwenye utumishi
KWA KWELI waTz tumewachoka madhalimu wa chama kikongwe kinachojiona kuwa kina hatimiliki ya nchi na taifa lililo letu sote.Nyamaza ndugu yangu, utaitwa gaidi sasa hivi kwa kutaja tu neno 'katiba'
Ukipeleka kesi mahakamani kuhoji 'TOZO' nayo unaambiwa kuwa wewe sio raia!