Wengi wamekuwa wakitoa hadithi kuwa Tanzania na China miaka ya 60 zilikuwa sawa kiuchumi. Kwangu mimi sikubaliani na hilo hata kidogo kwani masikini mwenye kopo akiomba na masikini mwenye mipango inayosubiri kutekelezwa, kamwe hawa hawawezi kuwekwa kundi moja.
Sisi uchumi wetu umekuwa wa kutojali Rasilimali zetu tulizonazo, bali tunategemea zaidi kushika makopo na kuomba misaada huku Uchina wao uchumi wao unategemea mipango yao na utekelezaji wake.
Hivyo miaka ya sitini yawezekana tulionekana kuwa sawa kwa macho lakini Uchina ilikuwa na mipango na sisi hatuna, hivyo walikuwa matajiri wakubwa zaidi yetu.
Kumbuka utajiri hauanzii kwenye tangible things bali kuwa na mipango mizuri.
Sisi uchumi wetu umekuwa wa kutojali Rasilimali zetu tulizonazo, bali tunategemea zaidi kushika makopo na kuomba misaada huku Uchina wao uchumi wao unategemea mipango yao na utekelezaji wake.
Hivyo miaka ya sitini yawezekana tulionekana kuwa sawa kwa macho lakini Uchina ilikuwa na mipango na sisi hatuna, hivyo walikuwa matajiri wakubwa zaidi yetu.
Kumbuka utajiri hauanzii kwenye tangible things bali kuwa na mipango mizuri.